The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,082
Ngoja tusubiri tuone ila najua timbwili la hapo si mchezo
liwalo na liwe.
Kama ni vita sisi hatutakuwa wa kwanza.
Pia kama kufa ndio kikomo cha binadamu.
na kama ni haki lazima ipatikane
Wakuu nimepata taarifa kunako chumba cha kutangaza matokeo Dr Batilda Buriani ameshinda ubunge wa Arusha mjini.Lema kama kawaida yake amefanya aliyofanya mwaka 2005 ???????????.
Kwa hiyo hikindicho Ndicho Ngngo anachokihubiri au?
Heshima kwako Nyambala,
Unaweza kuandika unachotaka kuandika sikuzuii lakini ukweli unabaki pale pale Lema si mpiganaji pengine sasa rafiki yangu PakaJimmy atakuja hapa jamvini kunitaka radhi kwasababu nilitoa tahadhari na mapema hawakunisikia.Nenda jukwaa la siasa angalia post ya PakaJimmy alafu njoo hapa andika ulichoandika.
Wakuu nimepata taarifa kunako chumba cha kutangaza matokeo Dr Batilda Buriani ameshinda ubunge wa Arusha mjini.Lema kama kawaida yake amefanya aliyofanya mwaka 2005 ???????????.
Heshima kwako Nyambala,
Unaweza kuandika unachotaka kuandika sikuzuii lakini ukweli unabaki pale pale Lema si mpiganaji pengine sasa rafiki yangu PakaJimmy atakuja hapa jamvini kunitaka radhi kwasababu nilitoa tahadhari na mapema hawakunisikia.Nenda jukwaa la siasa angalia post ya PakaJimmy alafu njoo hapa andika ulichoandika.
Duh!!!jamani wenzenu presha inapanda, presha inashuka!!
I hope wapiganaji Ndesamburo na Mbowe watafanya mambo!!!
Kwani matokeo ya Ndesa na Mbowe yameshatangazwa rasmi?