Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kesho saa 9 mchana Makamanda wapambanaji: Freeman Mbowe, Tindu Lisu, Ndesamburo na Mbunge wa Arusha mjini mh Godblees Lema watakuwa na mkutano na wana-Arusha kwenye uwanja wa NMC...Usikose!!!
Wao Wana Pesa Sisi Tuna Mungu Usiogope Tunashinda...
Wao Wana Pesa Sisi Tuna Mungu Usiogope Tunashinda...