Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,375
- 33,023
- Thread starter
- #461
Safari ya mchakato wa kupata katiba mpya ya Tanzania ulianza tangu mwaka 2010, wakati Rais wa wakati huo, Jakaya Kikwete alipoamua kuutangazia umma dhamira na nia ya serikali ya kuanzisha mchakato wa kupata katiba mpya,watu wanashangaa Mbowe anawezaje kumtisha rais.