Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,578
- 19,462
This is a very thorny situation; Wabunge wanataka watimize wajibu wao waliotumwa na wapiga kura wao. Lakini ata the same time ili kukamilisha majukumu yao, wanatakiwa wakaribishwe na matu wanayeamini kuwa hastahili kuwakaribisha bungeni. Je wakimfukuza au kumkataa, ni nani atakayewakiribisha kufanya shughuli walizotumwa?
Ninadhani kuwa jambo mojawapo wanaloweza kufanya ni kuwepo Bungeni ila watafute utaratibu mzuri wa kufikisha ujumbe wao kuwa hawamtambui Kikwete kama rais halali wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kuyapata madaraka hayo kwa njia dubious, ila watamsikiliza kwa katika kikao kile kwa vile sasa hivi nchi haina rais halali kutokana na yeye kukamata madaraka hayo.
Ninadhani kuwa jambo mojawapo wanaloweza kufanya ni kuwepo Bungeni ila watafute utaratibu mzuri wa kufikisha ujumbe wao kuwa hawamtambui Kikwete kama rais halali wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kuyapata madaraka hayo kwa njia dubious, ila watamsikiliza kwa katika kikao kile kwa vile sasa hivi nchi haina rais halali kutokana na yeye kukamata madaraka hayo.