Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Kutoka kwenye ukumbi wa bunge haina maana, kutomtambua rais haina maana, kwa kuwa haimuondolei urais wake. Wananchi washamtambua hiyo imetoka.
Kumbuka CHADEMA wenyewe wanaelewa kuwa ushindi wa urais haukuwa wao, alichokuwa anakitaka PHd wa ukweli ni kura zake halali, ama awe ameshinda au lah, kwa sasa sie wananchi hatujaona base wanayosimamia ya kukataa matokeo maana hatuna comparizon ya uhakika kati ya matokeo ya tume na ya majimboni.
CHADEMA watajidanganya sana kama wadhani watanzania tuta support hiyo move ya kutoka nje ya bunge. wanachotakiwa kufanya ni kumtambua jambazi na kupambana nae kwa mtindo wowote anaokuja nao na sio kumkimbia. kumkimbia na kujifanya hawamtambui haitasaidia wala kutusaidia chochote sie tulio nyuma ya chama. Katika mpambano ukipingwa ngumi ukaanguka inuka uendelee na mpambano sio kumkimbia mpinzani wako.
Nawasihi sana wabunge wa chadema, wasimkimbie JK let fight them through available means. Imeshindikana kuwapiga via mhimili wa serikali basi tuwachapie huku kwenye Bunge.
No retreat no surender
Kumbuka CHADEMA wenyewe wanaelewa kuwa ushindi wa urais haukuwa wao, alichokuwa anakitaka PHd wa ukweli ni kura zake halali, ama awe ameshinda au lah, kwa sasa sie wananchi hatujaona base wanayosimamia ya kukataa matokeo maana hatuna comparizon ya uhakika kati ya matokeo ya tume na ya majimboni.
CHADEMA watajidanganya sana kama wadhani watanzania tuta support hiyo move ya kutoka nje ya bunge. wanachotakiwa kufanya ni kumtambua jambazi na kupambana nae kwa mtindo wowote anaokuja nao na sio kumkimbia. kumkimbia na kujifanya hawamtambui haitasaidia wala kutusaidia chochote sie tulio nyuma ya chama. Katika mpambano ukipingwa ngumi ukaanguka inuka uendelee na mpambano sio kumkimbia mpinzani wako.
Nawasihi sana wabunge wa chadema, wasimkimbie JK let fight them through available means. Imeshindikana kuwapiga via mhimili wa serikali basi tuwachapie huku kwenye Bunge.
No retreat no surender