AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ikulu ni mahali patakatifu wala si pango la mafisadi.
TANZANIA STAND UP.
TANZANIA STAND UP.
Lowassa akiwa Rais akasimama jukwaa akikemea rushwa watu watakauka kwa vicheko na mishangao! Itabidi rushwa ihalalishwe tu kwny taasisi za umma maana Rais mwenyewe ndio fisadi #1 ???
EL atakuwa anapambana na rushwa mahakamani si jukwaan ka JK
You can't teach an old dog new tricks of huntingMuda wa nini wakati hata sasa anapokea misaada ya mafisadi papa?
Wakuu mimi nina mawazo tofauti kidogo,
Inawezekana kabisa Lowassa wa sasa ni tofauti na wa miaka ileee na inawezekana pia na yeye leo ufisadi unamkera kama unavyokukera wewe na ameshagundua kuwa ndio utakaomfanya akose urais lakini anashindwa aanzeje kuukemea.
Tumpe muda labda kuna siku atafunguka na kuweka yote wazi ambapo kila mtu atabaki kushangaa kumbe tumdhaniye ndiye siye.
Wakati wa sakata la escrow angeweza kumsema swahiba wake na pacha mwenzake nyoka wa makengeza kweli?
Wakati anajua alikuwa akihemea kwenye fuko lao la kuhonga
Si ajabu chenge akaja kuwa PM baada ya EL kupata uprezida
Wakuu mimi nina mawazo tofauti kidogo,
Inawezekana kabisa Lowassa wa sasa ni tofauti na wa miaka ileee na inawezekana pia na yeye leo ufisadi unamkera kama unavyokukera wewe na ameshagundua kuwa ndio utakaomfanya akose urais lakini anashindwa aanzeje kuukemea.
Tumpe muda labda kuna siku atafunguka na kuweka yote wazi ambapo kila mtu atabaki kushangaa kumbe tumdhaniye ndiye siye.
Asilimia 20 ya wanaomuunga mkono Lowasa ni wapambe wa kununuliwa(hapa wengi wao ni watu wenye ushawishi kwenye makundi mbalimbali), Asilimia 20 ni matajiri na marafiki walioko kwenye genge lake, hawa washaona na kukubaliana watakavyonufaika kibinafsi na uongozi wake, Asilimia 60 ni bendera fuata upepo na wasiojielewa wamelaghaiwa na haya makundi yalonufaika, wanacheza ngoma wasioijua! MASKINI TZ NCHI YA WATU WASIOJITAMBUA!
Walau mwana umemaliza huu mchezo. Maana kila siku maneno yamekuwa hayo hayo wakati wanasahau kwamba wao wanaishi katika ofisi za umma.Kwani ccm wamejenga nini kwa ruzuku na michango? Ofisi zote za ccm zimejengwa kwa nguvu za wananchi enzi za chama kimoja. Tuliongezewa being za bia, soda, khanga na vitenge! Pia ccm imepora viwanja vyote vya michezo. Oktoba siyo mbali na vyote vitakabidhiwa halmashauri za wilaya.
team joka la mdmu leo mnamsfia membe kweli hotuba ya JK kua achaguliwe rais anayekubalika ndan na nje ya ccm inawaumiza mliangaika sana kukata jina la lowasa ila mmekwaa kisiki kama nyie ni wanaume kwanini mnaogopa kupambana na lowasa uwanjaniKwa hili Mbowe yupo sahihi
Hata askof Gwajima amemkimbia Lowasa na Kumuunga Mkono MboweMh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Nisaidieni miwani nisome vizuri hii comment
You can't teach an old dog new tricks of hunting. Lowasa has been in the government for over 30 years and he has been the same why should you expect him to change from worse to good after becoming a president?
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5