jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kwamba hii ilikuwa ni kampeni?Au mwenyekiti alikengeuka?Kampeni ni kampeni tu
Kwamba hii ilikuwa ni kampeni?Au mwenyekiti alikengeuka?Kampeni ni kampeni tu
Naona umeamua "kujisafisha" kwa kutumia maji machafuKampeni ni kampeni tu
Nadhani, sahihi ni waziri Mkuu aliejiuzulu...lowasa ni vizuri akapumzika na kuendelea kupata pension yake ya uwaziri mkuu mstaafu japo hakustahili. watanzania masikini wa fedha lakini matajiri wa fikra hawako tayari kuona ikulu yao inamilikiwa na mapacha watatu kamwe. lowasa sio bubu tu bali hafai kwenye taasisi nyeti kama ya urais..
Nilishawaambia toka awali kuwa huyo mzee atawavuruga, hilo sawa na jini sijui mtamuachaje.Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Uliona mbaliKauli ya Mbowe tutaikumbuka daima, teh teh teh siasa hizi!
Wakati wa escrow inajadiliwa bungeni,Kweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah mapana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapigaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.
Wewe unapenda?Mbowe tuko pamoja.Lowasa na wafuasi wake hawapendi kabisa kutaja neno" UFISADI"sijuwi kwanini .
so tupuuze kila msemacho wakati wa kampeni sababuhuwa NI KAMPENI TU!nilianza na kuwaamini kabisa nyie jamaa kumbe mnweza badiili hata kabila kwa maslahi yenu binafsi.Kampeni ni kampeni tu