TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,559
nape na paulo makonda wameshindwa kuzuia mafuriko kwa mkono atawaze huyo dj mtafuna ruzuku
Kama walishindwa akina Paul 'aheshimu wazee' Makonda na Nape 'mrokopaji' Nauye sisi wananchi tutayazuia ukifika mwezi October. Lowassa anafahamika mpaka vijijini si kwa mazuri bali kwa ufisadi.