Babuu Rogger
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,529
- 1,114
Leo yatasemwa meeeengi, wakati mko nae hamkusema..
mimi sikujua kama hata kushika pen anatetemeka,pia hawezi kutumia kijiko...anyway! inshort edo hayuko fit physically and diplomatically kubeba majukumu ya uraisi,hata akishinda (a nightmare) anaweza kuishia njiani!! MTAZAMO TU.
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Mpe upenyo, uone udhaifu wake!
KENYA PIA AMERICA KUNA KITU KWENYE TV KIITWACHO TRUTH METER.
mm nimeamua kumpitisha kwenye truth meter.
. LOWASA NI UKWELI HAWEZI KUJIELEZA. mara nyingi anapenda kusoma prepared speech,believe me lini ulimuona LOWASA akichangia bungeni tuseme ukweli.
LOWASA HAWEZI KUJENGA HOJA. LOWASA atapigwa sana kama atashiriki presidential debate. ukiwa mgombea halafu ukoweak katika kujenga hoja lazima utapwaya.
LOWASA PHYSICALLY YUKO WEAK. kwa wale waliofatilia mkutanowake kule aruscha msaidizi wake alimwambia acheze kidogo na tukio lilikua live so tuliona. pia juzi wakati wanashuka jukwaa juu alionekana anashuka kwa uangalifu ili asijedondoka
.LOWASA HAJUI SLOGAN ZA UPINZANI mfano anatumia maneno WATAISOMA NAMBA msemo wa CCM. kiongozi makini angejikita na slogan za upinzani l
ntaleta zingine baadae.......
Kama kawaida ya watanzania kila kunapotokea jambo nilalotulazimu kujikumbusha wosia wa mpenwa wetu Nyerere hatuna budi kujikumbusha baadhi ya maneno yake ya busara kwa sababu ni kiongozi wa kitaifa anayeheshimika hapa Tanzania.
Pia kwa sasa hatuna budi kujikumbusha wosia wa Ndugu Mbowe kwa watanzania ili kuchagua kiongozi mzuri kwa maana ya utendaji, maadili na mwadilifu
Quotes;
"Wanajidanganya, Lowassa ni dhaifu sana. Amekaa serikalini zaidi ya miaka 30 na hakuna maendeleo yanayoonekana ndani ya serikali zaidi ya kila siku wizi na ubadhirifu kuongezeka," Freeman Mbowe.
"Hao wanaomtaka Lowassa ni wale wanaojua kuwa watanufaika binafsi akipita kwenye urais lakini kimsingi huyu jamaa ni dhaifu sana na hafai kuongoza Tanzania ya sasa yenye changamoto lukuki. Wapambe wake wanasema si msemaji bali mtendaji, hivi nani atakubali porojo hizo wakati tunajua akiwa Waziri Mkuu hakufanya lolote kukemea wizi, ubadhirifu na ufisadi? Richmond ilikuja akiwa wapi?," Mbowe.
"Sina ugomvi wala simchukii Lowassa binafsi, lakini ni vema hawa wanaosema ni mtu wa maamuzi magumu wakaueleza umma wakati watendaji wa serikali wakitafuna mabilioni ya fedha, CCM wakipitisha Katiba inayopendekezwa ya hovyo pale Dodoma wakitetea kwa wizi...yeye alisema au kufanya nini?," Mbowe.
"Huyu mtu yumo ndani ya mfumo wa ufisadi ulioiharibu nchi kwa takriban miaka 50 halafu mnataka kutuaminisha ni mchapakazi, tuwe serious jamani, nchi inahitaji mabadiliko ambayo yanapatikana UKAWA," Mbowe.
"Msipate shida, UKAWA ni kiboko ya Lowassa na CCM yake, ikifika Oktoba wananchi watuchague tuwakwamue kutoka hapa tulipo, haiwezekani miaka 50 sisi tungali maskini wa kutupwa ilhali tuna rasilimali lukuki," Mbowe.
"Sasa tutapambana na CCM jino kwa jino mpaka kieleweke, wao walikuwa wakishinda kirahisi kwa sababu walikuwa na wenyeviti wa vijiji, lakini sasa wataonja nguvu yetu,"
Tanzania Daima ni gazeti la ccm.. unategemea wamseje lowassa?
"Huyu mtu yumo ndani ya mfumo wa ufisadi ulioiharibu nchi kwa takribani miaka 50" Hapa mbowe ana kila sababu ya kujitetea kwa sababu kauli yake inaonyesha wazi kuwa udhaifu wa Lowassa akiwa katika mfumo ule wa tawala chama ulikuwa umemuathiri kwa kiasi kikubwa..
mimi sikujua kama hata kushika pen anatetemeka,pia hawezi kutumia kijiko...anyway! inshort edo hayuko fit physically and diplomatically kubeba majukumu ya uraisi,hata akishinda (a nightmare) anaweza kuishia njiani!! MTAZAMO TU.
Wakuu nimepitia kumbukumbu zangu zote sijaona sehemu hata moja Mh.Mowe mweyekiti wa CDM akimtaja Mh. Lowasa kuwa ni fisadi. waliokuwa wakisimama hadharani bila woga walikuwa ni Katibu mkuu na viongozi wengine wa chama. kuna nini nyuma ya pazia?
Wakuu nimepitia kumbukumbu zangu zote sijaona sehemu hata moja Mh.Mowe mweyekiti wa CDM akimtaja Mh. Lowasa kuwa ni fisadi. waliokuwa wakisimama hadharani bila woga walikuwa ni Katibu mkuu na viongozi wengine wa chama. kuna nini nyuma ya pazia?