Kubenea kuachwa uwaziri kivuli, kuna 'kazi maalum' anaandaliwa ndani ya CHADEMA?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .
 
Kubenea aliishatolewa kwenye kundi la waandishi mahiri wa habari za kiuchunguzi anayeheshimika hapa nchini kwa sababu imedhihirika ni mnafiki. Haiwezekani ulilishe taifa zima taarifa nyeti za serikali zikiambatana na vielelezo kwa miaka kadhaa kisha uzikane kwa kile kinachoonekana ni njaa. Anayeendelea kumsikiliza na kumwamini huyu bwana ajitathmini kama kichwani yuko ok.

Kama kweli Mbowe yuko serious kurudisha haiba ya cdm iliyoharibika vibaya baada ya eti kuchenji gia angani na dege lao kulipuka angani, kamwe hawezi kumpa huyu jamaa nafasi nyeti ndani ya cdm.

Kubenea si jasiri kama unavyotaka tuamini. Kama ni jasiri angesimamia maneno yake aliyomtwanga EL kwa miaka kadhaa lakini bila haya aliibukia Jangwani, mkia katikati ya miguu akinadiwa na EL. Aibu. Kubenea ni mnafiki tena mwoga. Ubungo nao wakamchagua duhh!! sipati picha.

Hakuna watu majasiri waliokuwa cdm kama Dr. Slaa na Josephine. Hawakuyumbishwa na umaarufu wa mtu bali walisimamia walichokiamini na kukisema.

Mbowe hawezi rudia kosa eti ampe Kubenea nafasi nyeti. Haiwezekani, Mbowe mjanja mtoto wa mjini.
 
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .

elimu yake ya ugoko ingewagharimu wenzie.
 
Chadema hakuna kazi maalum, tatizo la yeye kutopata nafasi ni kutokana na uwezo wake mdogo kulingana na nafasi smbayo angepewa, Mbowe mjanja sana. watu wanaopewa kazi maalum ni wale ambao pia elimu yao iko juu na si ya magumashi.
 
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .
Elimu ya hapa na pale ndio msingi wa yeye kubwagwa,thread hii imeanzishwa ili kumtafutia huruja ya mwenyekiti apate japo kapost
 
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .
Kubenea anaweza kazi gani huyu?
 
Hivi huyu niyule aliyemwagiwa tindikali usoni akaponea india kwa gharama za Jk Alimwagiwa na lile kundi la mafisadi wakati ule leo sio mafisadi au?
 
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .
unazungumzia huyu jamaa tapeli na kanjanja mwandishi. yule aliyetuambiaga Lowasa ni fisadi baadae akala matapishi yake kwa kugeuza maneno
 
shule hana yule,bora hata mwenyekiti wake kaishia form six,wana ubungo wamelamba galasa hapa
 
Kulingana na misimamo mikali ya huyu bwana na uwezo wake mkubwa katika masuala ya habari za kiuchunguzi kuna mtu amenidokeza kua kuna nafasi nzuri kubwa ndani ya Chama imeandaliwa kwa ajili yake.

Kama kuna ukweli juu ya hili basi Mwenyekiti Mbowe ni mjanja sana na hii inaweza kukisaidia chama zaidi maana huyu ni mtu asiyemwogopa mtu na ni jasiri aliyekwishajeruhiwa sana .
Bora ungekaa kimya unamtukanisha bure Kubenea.
 
Kubenea aliishatolewa kwenye kundi la waandishi mahiri wa habari za kiuchunguzi anayeheshimika hapa nchini kwa sababu imedhihirika ni mnafiki. Haiwezekani ulilishe taifa zima taarifa nyeti za serikali zikiambatana na vielelezo kwa miaka kadhaa kisha uzikane kwa kile kinachoonekana ni njaa. Anayeendelea kumsikiliza na kumwamini huyu bwana ajitathmini kama kichwani yuko ok.

Kama kweli Mbowe yuko serious kurudisha haiba ya cdm iliyoharibika vibaya baada ya eti kuchenji gia angani na dege lao kulipuka angani, kamwe hawezi kumpa huyu jamaa nafasi nyeti ndani ya cdm.

Kubenea si jasiri kama unavyotaka tuamini. Kama ni jasiri angesimamia maneno yake aliyomtwanga EL kwa miaka kadhaa lakini bila haya aliibukia Jangwani, mkia katikati ya miguu akinadiwa na EL. Aibu. Kubenea ni mnafiki tena mwoga. Ubungo nao wakamchagua duhh!! sipati picha.

Hakuna watu majasiri waliokuwa cdm kama Dr. Slaa na Josephine. Hawakuyumbishwa na umaarufu wa mtu bali walisimamia walichokiamini na kukisema.

Mbowe hawezi rudia kosa eti ampe Kubenea nafasi nyeti. Haiwezekani, Mbowe mjanja mtoto wa mjini.
...povu jingii eti unam'bembeleza adui yako asifanye anachotaka!!
 
Chadema hakuna kazi maalum, tatizo la yeye kutopata nafasi ni kutokana na uwezo wake mdogo kulingana na nafasi smbayo angepewa, Mbowe mjanja sana. watu wanaopewa kazi maalum ni wale ambao pia elimu yao iko juu na si ya magumashi.
hivi Who's smart kati ya kubenea na nkamia?
 
Kushinda yule aliyesema bangi na mirungi vihalalishwe mkuu??

Bora Yule serikali ingejipatia walau kodi tukaweza kupunguza tatizo la madawati shuleni sasa huyu wa vyupi na shanga vinasaidia nini?
 
Back
Top Bottom