Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
Hizo ni mbonu za kisiasa tu, yeye anachota ramani ya vita na ana finance watendaji wengine, kwani Deus Mallya hakukamatwa? Mnyika ndiyo akawa wa kwanza ktk vyombo vya habari eti ni mtu wa ccm, leo hii Mallya yuko makao makuu ufipa. RIP Chacha Wangwe
Hivi kwa kujibu wa sheria za nchi, anaetenda kosa na anae-finance kutenda kosa (na ikithibitika kama unavyodai) wote si huwa na makosa na huwa charged kwa makosa yao?
Nikushauri kitu kututendea khaki sie raia wema, peleka hivi vithibitisho vyoote Polisi wachukue hatua zinazostahili. Kuongelea hapa JF hakutasaidia sanasana utaonekana unaongea porojo kumbe yawezekana waongea mambo yenye manufaa
If you can't itatoa tafsiri mbili
1. Unayoongea sio kweli bali kichafuana kisiasa
2. Huiamini serikali yako na vyombo vyake