OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,584
- 105,643
"Nzi" wa Chadema waliojibanza Ikulu na Wizara ya Nishati wapo hatua za mwisho kabisa kumaliza kukusanya nyaraka muhimu vivid evidence juu ya ufisadi mkubwa uliofanywa katika mradi wa Bomba la Gesi.
Bomu hili linalotegemewa kulipuka muda wowote linaweza kusambaratisha CCM.
Aidha wahisani wameshadokezwa kuhusu wizi huu pamoja na usanii wa Escrow.
Baki hapa hapa JF tutakudondoshea soon.
Bomu hili linalotegemewa kulipuka muda wowote linaweza kusambaratisha CCM.
Aidha wahisani wameshadokezwa kuhusu wizi huu pamoja na usanii wa Escrow.
Baki hapa hapa JF tutakudondoshea soon.