Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Sijawahi kuona mmasai mjinga, ww ndo wa kwanza.Hakuna cha ulevi hapo huyo jamaa amesema kweli huwez kutoa soln ya tatizo kwa mwenzio wakati nawe una tatizo kama hilo. Kama mnakumbuka muafaka wa Arusha kama isingekuwa hapa JF Kupiga kelele ule muafaka ungeendelea na hata baadhi yenu mlishaanza kuukubali.