Mbowe ataka JK avunje baraza la mawaziri

Ukiona mtu amefikia hatua ya kulinganisha serikali na chama katika maamuzi na utendaji basi anatatizo la ki-magamba
 
Kwa ujumla hivi ni viti viwili tofauti kama wadau walivyosema.
Mosi, Sitta ni waziri, Shibuda ni Mbunge. Mmoja anaongozwa na kanuni na mwingine anaogozwa na Kiapo alichoapo kwa Rais.

Pili, Tayari hatua imeshachukuliwa dhidi ya Shibuda na kamati kuu. Kwa mujibu wa katiba yetu hatuwezi kukurupuka kumtimua tu. Iko michakato iliyoelekezwa na kanuni na katiba yetu. Ndo hiyo iliyokwishaanza kutekelezwa kwa kuundwa kwa tume hiyo. Period.

Swali,
CCM ya Lowasa na Sitta ni mmoja? Na Kikwete yuko upande gani kati ya hayo makundi?
 
KAMA NI HARAKATI CHADEMA NIMEANZA ZAMANI SANA NA FAHAMU NACHOZUNGUMZIA
HOJA ILIYOPO KWA NINI KK YA CDM ISIMUCHUKULIE HATUA STAHIKI MBUNGE HUYO?
excuse mr Mbowe mtaanza kutuvunja nguvu imagine Mnyika anajisikiaje?
hatua ichukuliwe siyo kuunda kamati
 
Kwa ujumla hivi ni viti viwili tofauti kama wadau walivyosema.
Mosi, Sitta ni waziri, Shibuda ni Mbunge. Mmoja anaongozwa na kanuni na mwingine anaogozwa na Kiapo alichoapo kwa Rais.

Pili, Tayari hatua imeshachukuliwa dhidi ya Shibuda na kamati kuu. Kwa mujibu wa katiba yetu hatuwezi kukurupuka kumtimua tu. Iko michakato iliyoelekezwa na kanuni na katiba yetu. Ndo hiyo iliyokwishaanza kutekelezwa kwa kuundwa kwa tume hiyo. Period.

Swali,
CCM ya Lowasa na Sitta ni mmoja? Na Kikwete yuko upande gani kati ya hayo makundi?

Mkuu sina maana wote wanafanana Kweli huyu ni Mbunge na Mwingine ni Waziri.
Fine lakini makosa yao ni yaleyale I mean wamekiuka makubaliano na wenzao (Usaliti)
wabunge wote wa chadema wamekubaliana kupinga POSHO anainuka mbunge wa CDM
anapinga tena wazi what picture do you get? zen kamanda Mbowe anaanza kumshauri Rais on his cabinate while CDM kuna uozo the same
msichukulie POA bana
mkuu hatua gani kk amechukuliwa Shibuda?... please acha kuongopea umma ofcorse hata mie katiba ya chm niniyo I know.. hatua si lazima kumutimua tu... refer madiwani wa Arusha
 
Ukiona mtu amefikia hatua ya kulinganisha serikali na chama katika maamuzi na utendaji basi anatatizo la ki-magamba
Mkuu kwa Speed ya Chadema ni Zaidi ya chama na ni zaidi ya serikali hii regerege
 
Ndugu yangu nafkri unatumia kiuongo kingine kufkri na si kichwa,try to think twice before you write these kind of nonsense things in here.This group is called (the home of great thionkers) Nakushauri ujiondoe kwenye hii social network kwani kichwa chako hakifai hapa.Hivi unashindwa kutofautisha majukumu ya waziri na mwanachama,wazri ni mtu mkubwa sana kwenye serikali,pia ni 1wapo kati ya watu wanaounda serkali,sasa hauwezi kumfananisha na chibuku(shibuda) ambaye ni mwanachama tu na hata kwenye kamati kuu ya chama hayumo.damn
 
yamesemwa mengi kuhusu ushauri wa mbowe kwa raisi na suala la shibuda kwenda kinyume na makubaliano ya wabunge wa cdm,napenda kuongelea swala la mtoa hoja upande wa kumng'oa shibuda,swala la kumng'oa mwanachama si swala wala jukumu la wabunge bali kamati kuu ya chama,na mbunge awapo bungeni anawakilisha makundi matatu,1.wananchi waliomchagua 2.chama chake 3.nafsi yake.mbunge kama nafsi huru ana haki yakusema kile adhanicho ni sahihi na hilo halimfukuzishi chama kwani ni haki yake.pamoja tunajenga taifa.
 
Mh.Pinda ameonyesha wazi kukerwa SANA na kile alichofanya Jairo, sasa kwa kuwa ni Waziri Mkuu aliyepata uhakika beyond any reasonable doubt kwamba hii ni Serikali ya KAOLE GROUP na kwa kuwa ni mtoto wa mkulima anayetumia Ubongo uliohifadhi akili yake katika maamuzi yake na kamwe hana KAMASI zilizohifadhi fluid ambazo hutumiwa na jamaa wa KAOLE GOVERNMENT katika kufikia maamuzi yao.

Na kwa kuwa Jairo ni sehemu ya Serikali/Wizara na kwa kuwa William na Adam ni Sehemu ya Serikali/Wizara, lakini vilevile kwa kuwa Mh.Pinda ni Kiongozi wa Shughuli za KAOLE GOVERNMENT Bungeni, NA KWA KUWA AMEJIHAKIKISHIA YEYE MWENYEWE kwamba anaongoza viongozi Wahuni.

Nasema aachie ngazi ili JK avunje Baraza la Mawaziri ili tuone atatuletea Wahuni gani wengine, kwa kuwa hawa FUNDO MOJA TU LA ZIADA LIMEWAUMBUA, nasema TUONE ATATULETEA WAHUNI gani wengine kwa kuwa mkenge tuliouvaa hatuwezi kuutosa hadi 2015, ndo maana jamaa hana muda na haya mambo ya Oh hakuna umeme mara oh Madini yanaondoshwa Nchini kama vile Tz hakuna binadamu wanaoishi, yeye katulia kwenye Kiota chake cha POPO mara yuko kwa Madiba, akirudi anaenda Malaysia alikosahau Soksi zake Hotelini. JK anatuona wabongo sisi kama aina ya binadamu fulani aliowahi kuwasoma kwenye Historia.

Hakuna anachojali hata nchi ikifilisika yeye anazo nyingi alizochota kutoka kwa RA, na nyingine tele alizotayarishiwa na David Jairo katika Madokezo tusiyoyajua.
 
Hii ingekuwa kwa wenzetu serikali nzima ilitakiwa ijiuzuru kupisha uchaguzi mpya. Na ingelikuwa china basi jairo ilitakiwa anyongwe kwa kupigwa shaba huku risasi akijinunulia mwenyewe.
 
halafu hii wizara imejaa 'watoto wa mujini' watupu!Ngereja,Malima,Jairo..sasa sijui kazi zingefanyikaje huko!
 
Yaani of all the people uyu Malima huwa ananikera majibu yake bungeni
Check bob sana huyuno wonder wizara inayumba
 
NAOMBA NIULIZE SWALI:

HIVI J.K NI RAIS WA NCHI GANI? Maana sijamwona hata kwenye taarifa ya habari miezi sasa namsikia kwenye sherehe na ngoma tu!
 
Jairo, Vincent Gondwe, Mwandosya, Jakaya kikwete, sahani moja Mgondwe alikuwa kamishna wa nishati na madini. Mwandosya katibu, Jairo officer na Rutabanzibwa.

Usicheze nao
 
Umenena! Lakini je kuna issue iliyowazi 100% ya kuiondosha serikali iliyopo madarakani?
Nakuhakikishia hii issue ni tosha kabisa 100% bila chenga kwa Pinda kuitosa Kaole Government.

Lile Dokezo ni Kashfa kwa Serikali yoooooooote, inapofikia mahali muhimili mmoja unapanga kuhonga Muhimili mwingine then hapo hakuna kitu kinaitwa SERIKALI isipokuwa kuna Wahuni fulani waliopora madaraka kwa kuvunja sheria na sheria ikawahalalisha kwa kuvunja sheria, kwa kuwa hiyo ni sawa na kutoa adhabu ya kmnyonga mtu kwa kosa la kuua, yaani unarudia kuhalalisha kosa la kuua kwa kuvunja sheria.
 
Mimi nataka kujua hizo ela zimeishia wapi maana wanasema hata kwenye account hazipo.tufike maali tumwogope Mungu,kwani hata kama Wabunge waliopewa hata elfu kumi kupitisha hiyo budget rohoo ziwasute wajiudhulu hata Ubunge.
 
for the 2nd time mkuu wa kaya atalivunja baraza la mawaziri..ngoja tuone au ndo utasikia kashaenda kuala lumpar kupanda bembea..
 
Back
Top Bottom