NINANUKUU...... "Soda na chai kwa wageni wa KUB ni Tshs. 2,000,000.00 kwa mwezi na kwa mwaka Tshs. 24,000,000.00!! Wakati kima cha chini ni Tshs. 120,000.00 kwa mwezi na mwaka ni Tshs. 1,440,000" MWISHO WA KUNUKUU
Kambi ya upinzani ikipokea idadi ya wageni 30,000 kwa mwaka = 24,000,000/30,000=800 kwa kila mgeni