Maswali anayouliza kwa waziri Mkuu hayana mbele wala nyuma na anarudia kikosi kazi cha umeme kila siku hana ubunifu, ni dikteta kwa kumsikiliza lema ili madiwani Arusha wafukuzwe, naanza kuuona mwisho wa CHADEMA na kinaenda kuingia kwenye mgogoro mkubwa wa kiuongozi na kichama like NCCR na TLP