Mbowe anapwaya sana kama kiongozi wa upinzani

Serikali inahonga Bunge -- Nipewe Jibu then tuendelee na hoja hii.
 
Jamaa ana PHD ya unafiki - PHD ya kutumia kiuno kufikiri - wewe kambi ya upinzani inakuhusu nini wakati ya kwenu yanawashinda, Magamba hayatoki, na jingine limeota juzi bungeni lakini halijajikoboa mpaka leo hii.

Kwako kunawaka moto huna habari unaendelea unachunguza kwa wenzio - time is running out for CCM my friend - mnakalia kupika majungu tu.

hakuna sehemu yeyote ile ambayo mimi nimesema ni CCM , jibu hoja sio kutoa matusi naendelea kusisitiza mbowe ana uwezo mdogo wa kujenga na kuwasilisha hoja, acha unafiki wa kumuona mbowe is always perfect and right unazi wa vyama ndio chanzo cha matatizo ya watanzania, nimetafiti na naamini katika tafiti( phd)
 
Unampima kiongozi kwa maswali anayouliza? Mbona humpimi Kikwete kwa majibu anayotoa? Una PhD ya kun.ya sio ya darasani

"sasa na wewe mwandishi hivi unataka mimi nijibadilishe niwe wingu nikanyeshe mtera ili maji yajae tupate umeme"?
 
maswali anayouliza kwa waziri mkuu hayana mbele wala nyuma na anarudia kikosi kazi cha umeme kila siku hana ubunifu, ni dikteta kwa kumsikiliza lema ili madiwani arusha wafukuzwe, naanza kuuona mwisho wa chadema na kinaenda kuingia kwenye mgogoro mkubwa wa kiuongozi na kichama like nccr na tlp
sema waziri mkuu ndio anapwaya au wewe unapwaya ..............
 
utawajua kwa matunda yao....kumbe ulikuwa unareport kutoka DODOMA kama kutupa rushwa ili tukuunge mkono kwa upupu uliojiandaa kuwa unauleta! kama hivi this is nonsense.....umeme ndilo tatizo kubwa linaloikumba taifa kwa leo,tatizo hili halijapata hata chembe ya suluhisho..sasa unashangaa nini swali hilo kuendelea kuulizwa?????au ndo mnataka tusahau?hatuwezi kusahau kwa kuwa hata sasa nimekuja ofisini hata sijanyoosha nguo,in the past 24hrs nimepata umeme kwa less than 2hrs!!!!halafu mnaona tulipotezee kirahisi! we won't mpaka kieleweke!!!!!!!poleni kama mnakereka ila huo ndo ukweli, endeleeni kumjutia HAMAD RASHID na ikiwezekana mkanywe nae chai na atawagawia allowance za kukalia kiti bungeni.

Umedandia treni kwa mbele. Kiongozi wetu anapaswa kujua kanuni za Bunge na si kufundishwa na PM tena kwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa Chupa. Am activist Dodoma natekeleza wajibu wangu sihitaji uniunge Mkono kwani huna nyongeza yoyote katika utayari wangu
 
Haya majina yenu hayaendani na mnavyoandika. Mara PhD, mara Mhadhiri, kumbe ni kuficha umbumbumbu wenu!!!!
Yule mhadhiri alishasema mwenyewe ni mhadhiri wa sigda! Huyu PhD ni mtaalamu wa kuny.a hana lolote! Mimi nimemsikiliza Mbowe vizuri sijaona tatizo kwenye swali lake. Unataka aulize nini wakati taifa lipo gizani?
 
Kwa uelewa wangu, naamini mtu anaporudia kitu kimoja mara nying mno basi anakiamini sana na ndio kitu anachokisimamia. Ukitaka kuamini hilo soma uchambuzi wa Mwanakijiji katika uchambuzi wa hotuba Ya Rostam katika gatezi la Mwanahilisi la jana au hapa hapa jamvini kwenye thread yenye title ROSTAM TAFADHAL BWANA

Sasa ninadhani kurudiarudia kwa Mbowe mambo anayoyazungumza kunaongozwa na Dhana hiyo. Lakini pamoja na hayo bado kuna njia nyingi nyingine za kuwasilisha michango yake hiyo kwenye serikali. Kwa sasa wananchi wanamatatitizo mengi sana na wanahitaji kusikia yakijadiliwa au kuzungumzwa walau na kiongozi wa kambi ya Upinzani. Huu si wakati wa kurudiarudia hoja moja kwa njia ile ile. Tulimsikia, tukamuelewa sasa kama serikali haikumuelewa atuambie kifuatacho, na sio kurudia rudia

Vilevile uwasilishaji wa mada mbele ya kadamnasi inahitaji ufundi, weledi, umakini na ubunifu wa hali ya juu, Ndio maana Tundu na Zitto wanapowasilisha hoja zao, unapata hamu ya kuwasiliza na mawaziri wanakuna vichwa. Ni vizuri viongozi wetu wakajtambua kuwa hawaongei na bunge tu bali na watanzania wengi wanaowatazama na kuwasikiliza. Wakilitambua hilo basi watakumbuka kuwa The Audience is a key part of any presentation. Thus they should consider..

What are we expecting to hear?
What do we know already?
Are going to have strong opinions?
Will it be clear why the subject should matter to us?
Do they have support or opposition from particular people?
 
Sasa mkuu mimi nakubaliana na wewe, tatizo ni kwamba wewe ambaye hata udiwani hujapewa unaweza kumsaidia?
 
Kindly change hiyo AVATA, haifanani na mawazo haya duni
Utakuwa na mtindio wa ubongo. Mhuni wenu anajibu majibu kama ya kondakta wa daladala hamwoni kama anapwaya kwenye kiti alichokalia ila Mbowe akiuliza ishu za maslahi ya Taifa ndo mnapiga kelele anapwaya
 
sio sigda.mimi mhadhiri wa kanisa. mahubiri yangu kayakimbia dk slaa. akunda chama lkn kinaelekea kufa
Kanisa halijawahi na halitakuja kuwa na watu type yako. Unajidhihirisha wazi kuwa wewe ni mla kashata na kahawa kwenye majengo ya misikiti
 
Kama anaifanya kazi hii kitaasisi vichwa vya kumsaidia anavyo ndani ya CHADEMA na hata nje kama humu JF. Lakini kama anaifanya kazi yeye mwenyewe atakwama. Mh Mbowe anasikiliza, anasoma, anajadili na anajua kujenga hoja na akaisimamia. Tumpe nafasi.
 
Back
Top Bottom