Huenda ukawa na hoja:
-Kwa nini hakwenda Arusha mojakwamoja kama alivyofanya Dr Slaa?
-Alitakiwa kujisalimisha polisi au mahakama iliyoamuru akamatwe?
-Mh Mbowe hajui sheria ya dhamana ikoje na inafanyaje kazi?
-Kwa nini hakuwasiliana na mdhamini wake juu ya kutohudhuria kwake mahakamani?
-Suala hili limekuzwa makusudi na dola pamoja na vyombo vya habari?
Kadiri siku zinavyoenda mbele napata wasiwasi na vyama vyote nchini hapa, I thought chadema wako smart kuliko ccm ndio lakini not to the level I expected, humu ndani wachangiaji wengi pro chadema wanongozwa na hisia tu, kila kitu against chadema wanasema crap! badala
-Anayejisalimisha anakamatwa kwa nguvu nyingi kiasi hiki?
Kadiri siku zinavyoenda mbele napata wasiwasi na vyama vyote nchini hapa, I thought chadema wako smart kuliko ccm ndio lakini not to the level I expected, humu ndani wachangiaji wengi pro chadema wanongozwa na hisia tu, kila kitu against chadema wanasema crap! badala ya kureason why it has been written that, sasa Mheshimiwa Mbowe kwa nn hakutokea mahakamani? labda wanasheria mtufahamishe hapo? waliomshika kwa kuidharau mahakama ni sawa ila the whole drama kama imekuzwa vile!