nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa hizi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.
Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na mikutano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.
Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.
Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.
Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA
Siku njema.
Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na mikutano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.
Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.
Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.
Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA
Siku njema.