Mbowe alikuwa anatafuta umaarufu wa kisiasa

nickname

JF-Expert Member
Dec 20, 2009
544
147
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa hizi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na mikutano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.

Bila shaka nawe unatafuta umaarufu kwa kuweka hii Crap! Mbowe ni Maarufu kabla wewe hujazaliwa
 
Sisi tusio wanachama wa chama chochote cha Siasa tunakupongeza kwa hii yuziful thread.

Hongera Mbowe. Hongereni Chadema.

Babu anarudi MMU kwa wajukuu zake kuhamasisha demokrasia.
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.


Umaarufu kwa nani, mkeo?
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.
Umeishiwa mistari wewe.
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.



hawana la kufanya wamebaki kubuni mambo ya kitoto tuu!
 
Huenda ukawa na hoja:
-Kwa nini hakwenda Arusha mojakwamoja kama alivyofanya Dr Slaa?
-Alitakiwa kujisalimisha polisi au mahakama iliyoamuru akamatwe?
-Mh Mbowe hajui sheria ya dhamana ikoje na inafanyaje kazi?
-Kwa nini hakuwasiliana na mdhamini wake juu ya kutohudhuria kwake mahakamani?
-Suala hili limekuzwa makusudi na dola pamoja na vyombo vya habari?
-Anayejisalimisha anakamatwa kwa nguvu nyingi kiasi hiki?
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.

ndio shida ya kuvamia siasa ukubwani, ona sasa ameshaanza kuishiwa mbinu!
 
Limbukeni mkubwa wewe,mbowe anajulikana kabla hata girfriend wako hajazaliwa.
 
Linapotokea jambo kubwa sehemu yeyote duniani liwe zuri au baya,kwa wanaotaka kukosoa hawatakosa maneno ya kusema(kukosoa)na vilevile kwa watakaotaka kusifia pia hawatakosa maneno ya kusema(kusifia),Tanzania yetu ni moja na sisi ni wamoja tupinge na kusifisia kwa nguvu zetu zote pale Serikali itakapokengeuka au pale Serikali itakapofanya vema.
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.

Yeah...kwenye familia yako amekuwa maarufu sana! unalingine??
 
Si ndio kazi ya siasa?? sasa ulitaka ajifunge chumbani na mkewe?? CCM wameloose yeye ka-gain and the game goes on..........thread nyingine bana
 
Kwa kweli huyu bwana sijamwelewa kabisa! Unataka kusema mbowe alikwenda polisi ili akakamatwe? Nahisi unachanganya hisia!!
 
Nimejaribu kuangalia na kufikiria sana kinachoendelea katika siasa za Tanzania na hasa izi kampeni zisizo rasmi kati ya CCM na CDM.

Baada ya CCM kujivua gamba na viongozi wake kuanza kuzunguka mikoani ,hasa ile ambayo CHADEMA wameshapita na kufanya maandamano,kilichoendelea ni technique ya kisiasa kufanyika.Chadema inaonekana inanguvu na mbinu nyingi za kufanya siasa;baada ya CDM kufanya maandamano na kuona kuwa vyombo vingi vya habari haviripoti au kuandika habari za maandamano na mikutano yao ikaona kuwa njia bora ni kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa urahisi kabisa.

Mheshimiwa Mbowe alijua kabisa kuwa anahitajika kufika mahakamani na akatumia sheria za bunge kuona mahakama itafanya nini,wakati huo huo alijua kuwa vyombo vyote vya habari vitaandika na kulitaja jina lake kila wakati.

Hivyo ndivyo ilivyotokea,Mbowe alijisalimisha na polisi wakatumia gharama kubwa kumsafirisha,Mbowe akatawala vyombo vya habari kwa siku kadhaa,akashangiliwa mahakamani Arusha na ataingia kwenye Bunge la bajeti kama SHUJAA.

Hongera Mbowe na Hongereni CHADEMA

Siku njema.

Sote tumewahi kuwa na kesi na kudhaminiwa na kukosa kufika mahakamani. Mara zote mdhamni hupangiwa tarehe ya kumleta aliyemdhamini, mbona safari hii haikuwa hivyo? Kama wadhamini wa vibaka wa mitaani hupatiwa muda wa kuwatafuta watu waliowadhamini na ambao hawafiki mahakamani ilikuwaje kwa Mdhamini wa Kiongozi wa Kamabi ya Upinzani asipatiwe tarehe ya kumleta aliyemdhamini?

Hapa kuna kitu ambacho mahakama ya Arusha kama ilivyo Polisi wantumiwa na CCM.


Katika sakata hili cdm walipata fursa ya kupima ni kwa namana gani wamefanikiwa kuwaamsha watanzania kuwa responsive kwa uonevu. By the way kwani mahakama ilipotoa hati ya Fisadi Chenge kukamatwa kwa kutofika mahakamani kwa kesi ya kusababisha vifo nini kilitokea?
 
Huenda ukawa na hoja:
-Kwa nini hakwenda Arusha mojakwamoja kama alivyofanya Dr Slaa?
-Alitakiwa kujisalimisha polisi au mahakama iliyoamuru akamatwe?
-Mh Mbowe hajui sheria ya dhamana ikoje na inafanyaje kazi?
-Kwa nini hakuwasiliana na mdhamini wake juu ya kutohudhuria kwake mahakamani?
-Suala hili limekuzwa makusudi na dola pamoja na vyombo vya habari?
-Anayejisalimisha anakamatwa kwa nguvu nyingi kiasi hiki?

kwa hiyo, unasemaje....mtie keko basi.
 
mtu aliyegombea urais, na yeye ndo alianzisha kampeni kwa kutumia helkopta unasema anatafuta umaarufu? Wewe kweli hamnazo yeye tayari ni maarufu labda useme alikuwa anatafuta umaarufu kwa mkeo na ameupata mkeo si kashaanza kumzimia au?
 
Humu ndani kumeingiliwa na mapepo ya ajabu ajabu kuna watu wanakera sana watatusabishia tufungiwe kwa mambo yao ya kijinga na kipumbavu!!

Kwani ni lazima uanzishe ama kuandika topic zisizo kuwa na kichwa wala miguu???? ..................MIJITU MINGINE SIJUI IKOJE
 
Humu ndani kumeingiliwa na mapepo ya ajabu ajabu kuna watu wanakera sana watatusabishia tufungiwe kwa mambo yao ya kijinga na kipumbavu!!

Kwani ni lazima uanzishe ama kuandika topic zisizo kuwa na kichwa wala miguu???? ..................MIJITU MINGINE SIJUI IKOJE

Hahahahahahahah akili zao ziko kwenye makalio wasamehe kama mimi!
 
Sisi tusio wanachama wa chama chochote cha Siasa tunakupongeza kwa hii yuziful thread.

Hongera Mbowe. Hongereni Chadema.

Babu anarudi MMU kwa wajukuu zake kuhamasisha demokrasia.


demokrasia ya mapenz?
 
Back
Top Bottom