Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,930
- 13,013
kuna watu wengne wanachelewa sana kukua kama miti. hasa wanaoleta siasa kila muda.
Pro-Chadema walivyokuwa wanafiki wataanza kumpa pole Mbowe leo.
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family
Kuna wana CHADEMA walidai kuwa huyo mama hana undugu na Mbowe.
Wadau wenyewe ni hawa: Mungi, Arushaone, Crashwise.
Nina hakika unatania kwa sababu unajua hata kubadilisha tiketi ya ndege siyo rahisi ki hivyo. Tatizo la JF mnafanya utani hata kwenye mambo ambayo hayahitaji utani. Wakati mwingine ebu jipime kama hali hiyo ingekuwa imekupata wewe, ungefurahia matani ya jinsi hiyo. It is unfortunate na pia utoto.
Mungu ampumzishe panapostahili dada wa mwenyekiti wetu.
Abdallah Bulembo atahudhuria?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums[/QUOT
Atakuwepo chemical ali mzee wa sumu kali ( ben saa nanee)
Kuna wana CHADEMA walidai kuwa huyo mama hana undugu na Mbowe.
Wadau wenyewe ni hawa: Mungi, Arushaone, Crashwise.
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family
Nina hakika unatania kwa sababu unajua hata kubadilisha tiketi ya ndege siyo rahisi ki hivyo. Tatizo la JF mnafanya utani hata kwenye mambo ambayo hayahitaji utani. Wakati mwingine ebu jipime kama hali hiyo ingekuwa imekupata wewe, ungefurahia matani ya jinsi hiyo. It is unfortunate na pia utoto.
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family
Nina hakika unatania kwa sababu unajua hata kubadilisha tiketi ya ndege siyo rahisi ki hivyo. Tatizo la JF mnafanya utani hata kwenye mambo ambayo hayahitaji utani. Wakati mwingine ebu jipime kama hali hiyo ingekuwa imekupata wewe, ungefurahia matani ya jinsi hiyo. It is unfortunate na pia utoto.
Kama una uchungu na ndugu yako siku hiyo hiyo ya msiba unapanda ndege kurudi nyumbani haraka.
I doubt his relation with the family