KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
ila ukiangalaia toka Mwaka 1996 wameombwa walipe deni ila hawajaonesha ushirikiano.Na kama ni hivyo basi na watu waliochukua za EPA warudishe bila kushtakiwa kama mtakavyo Mbowe asishitakiwe.
Suala la pili tunata kujua mazingira ya Mbowe kupewa mkopo NSSF,Je kulikuwa na Fair Game au ??hili ni suala ambalo tunahitaji kulijua.
though Mwandishi hakuupa upande wapili utoe Maelezo,ila tunahitaji kufahamu vizuri suala hili.tuseianza kuupanda Upinzani kumbe ndio hao hao!!
watu watasema apewe muda wa kulipa, wakati hii ishu ni tokea 1996 ! hadi sasa anasubiri nini ?? hii ishu itaexpand kwenye magazeti, kibanda kitawaka moto !