Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Masaa 72 count down jamaa mmoja ajulikanaye kwa jina la Chukulubu Chekacheka Manento atadondokea pua.
Marksman, nawasiliana na wanasheria wangu ili nikudai Bilioni 4 kama fidia kwa kupandisha BP yangu hadi 2010/1961 kwa hii heading yako. Loh!WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Unafaa kuwa mwandishi wa habari wa magazeti ya Udaku! Maana heading hii kidogo initoe jasho. But keep it up and make sure all of u vote for the better Tanzania of tomorrow
Kaka una maanisha Slaa yupi? maana kuna Slaa wa CCM Karatu na inasemekana hajaanza kampeni mpaka sasa, sijui anasubiri nini. Inawezekana wanasubiri kuiba kura za Natse wa CHADEMA kwa kisingizio kuwa wapiga kura wamejichanganya.
dah...we acha tu!!Kama ni gazeti lingeuza sana.
Good news by the way.