Mbowe aenda na jina la Msigwa mfukoni, Olle Sosopi atemwa

Okay
Unapo ongea ongea kwa fact kidogo..nataman kujua lilikiwa pandikizi kivipi ??

Na kwann mbowe asinge litimua chaman na kuweka mpinzan wa msigwa kufwata katib ya chama watu wapige kura..??

Maana watu wana haki yao kumchagua mtu wanae mtaka....

Imekaa km uchaguz wa mwenyekit wa upande ule huoni bado
Wangemkataa basi kura nyingi za hapana zisingemuweka msigwa!Lakini kapata kura nyingi za ndio!
Hilo la upandikizi naliandikia makala,thread nitakutag!
 
Wangemkataa basi kura nyingi za hapana zisingemuweka msigwa!Lakini kapata kura nyingi za ndio!
Hilo la upandikizi naliandikia makala,thread nitakutag!
Ooh kumbe..

Jaribu kumwelewa mtoa mada vizur
Wajumbe walikuwa 98
Wamesusa 28
Kura za ndio 68 na hapana 44
Jumla ya wapiga kura 106

98-28=70
70 ni wajumbe halali waliopiga kura ktk jimbo hilo

106-70=36
36 ndio wajumbe alio kuja nao mbowe na wote walipiga kura ya ndio kat ya zile 64

Sijui unaelewa hapa,kwamba kanda ya nyasa wamechaguliwa hawachagua

CCM na CDM
Wote wale wale......
 
Elewa mantiki,Sio kukurupuka!
Ccm itoke madarakani maana imeishiwa pumzi!Hayo mambo sijui ya mwenyekiti mkoa ndio iwe angle yenu,ni upuuzi tu!
Kuna watu wanapenyeza mapandikizi,lazima yazuiwe kwa namna yoyote!
duuh ama kwl ccm ni balaa, yaan sosopi ambaye ndo makamu mwenyekit BAVICHA kumbe ni pandikizi lao, duu CCM ni balaa kwa kweli.
 
yaani unatumia madhambi ya ccm kuharalisha uovu wa chadema. sasa kuna ulazma gani wa kuitoa ccm madarakani kwa kisingizio cha udikteta wakat upinzani na nyny ni madikteta?

zaidi ya nani?
Huwa nashangaa wapinzani wa bongo wana itumia ccm kana standard ya kujitetea kwa mapungufu yao.
No wonder kila siku siasa zetu zinakuwa za magumashi
 
Elewa mantiki,Sio kukurupuka!
Ccm itoke madarakani maana imeishiwa pumzi!Hayo mambo sijui ya mwenyekiti mkoa ndio iwe angle yenu,ni upuuzi tu!
Kuna watu wanapenyeza mapandikizi,lazima yazuiwe kwa namna yoyote!
Ccm haiwezi kutoka madarakani kama hamjitofautishi nayo kabisa, nyie mna fikiri kuwa mkifanya madhambi watu wata wachekea simply kwa kuwa siyo chama tawala!!? Hakuna kitu kama hicho sisi kama wana nchi tuna jaji vyama vya siasa kisawasawa.
Na huwa nawacheki hata hapa kwenye forum mtu akiwakosoa mnapanic sana, kwa mfano umesema jamaa kakurupuka but he is a citizen ana toa girevances zake, kwa nini msiheshimu kukosolewa!?, sasa kama kipindi ni wapinzani mnatujibu jeuri hivo wapiga kura wenu nani ata fikiria kuwaamini awakabidhi madaraka!!? Msi itaje tu demokrasia bali hiyo demokrasia ionekane ikitendeka, arrogance haitawapa madaraka.
 
duuh ama kwl ccm ni balaa, yaan sosopi ambaye ndo makamu mwenyekit BAVICHA kumbe ni pandikizi lao, duu CCM ni balaa kwa kweli.
Hawa jamaa wa chadema wana nikera sehemu moja tu arrogance, yaani ukimkosoa mwenyekiti wao unatafuta shida. Wakati lengo ni zuri tu kuwekana sawa.
Sijui wata shika hayo madaraka kama wana ishi kwa maamuzi yale yale kwa namna ile ile.
 
[HASHTAG]#Inauma[/HASHTAG],[HASHTAG]#inakatisha[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaa[/HASHTAG]
pole sana patrick ole Sosopy

kilichofanyika leo kwenye uchaguzi wa chama kanda ya Nyasa na chama chetu ni [HASHTAG]#shambulio[/HASHTAG] dhidi ya mfumo wa demokrasia kwa sisi wote tuosimama na kupigana kuheshimika kwa misingi ya demokrasia ndani ya taifa letu
Ipo wapi People'spower yaani mamlaka yote ya Viongozi yanatoka kwa wanawachama

kitendo cha mwenyekiti wa chama taifa na kamati kuu kwenda na jina la mgombea kwenye mkoba ni ukiukaji mkubwa wa demokrasia hususani haki ya kuchaguliwa na kuchagua

kitendo cha kumkata makam mwenyekiti Bavicha Taifa Patrick Ole Sosopi na kumuacha mbunge Peter Msigwa Kupita bila kupingwa kwa kupigiwa kura ndio au ya hapana ni sawa na kuturudisha Nyuma miaka 30 iliyopita ambako wazazi wetu walifanya hivyo kipindi cha mwinyi

Kwa kitendo hiki kinatunyima na ni sawa na kujivalisha pingi mkutononi juu ya kupinga Ukiukaji wa misingi ya demokrasia ndani ya taifa

hatuwezi kumkosoa magufuli

tujisahihishe

im very dissapointed

Tumemkata Sosopi kwa maslahi mapana ya chama..... Na Tumempitisha Msigwa kwa maslahi mapana zaidi ya chama ..

Msigwa amegombea peke yake Kanda ya Nyasa.... Yaani Msigwa na Kivuli.

Kura za ndiyo alizopata Msigwa ni 62
Kura za hapana. 44
Wajumbe waliosusia kikao ni 28.
Hapana ni 44 + Waliosusia kikao ni 28 =Jumla 72.

Hivyo Msigwa amepata kura 62 sawa na 58. 46.
Hivyo Sosopi asingelikatwa angepata kura 72 dhidi ya kura 62 alizopata Msigwa.

Kuna la kujifunza hapo.
Lowasa alipewa agombee urais kwa watu kunyoosha vidole.

Neno demokrasia liondolewe " CHADEMA" ibakie chama cha MBOWE na maendeleo " CHAMBOMA".

Karibuni ACT wazalendo.
 
Ccm haiwezi kutoka madarakani kama hamjitofautishi nayo kabisa, nyie mna fikiri kuwa mkifanya madhambi watu wata wachekea simply kwa kuwa siyo chama tawala!!? Hakuna kitu kama hicho sisi kama wana nchi tuna jaji vyama vya siasa kisawasawa.
Na huwa nawacheki hata hapa kwenye forum mtu akiwakosoa mnapanic sana, kwa mfano umesema jamaa kakurupuka but he is a citizen ana toa girevances zake, kwa nini msiheshimu kukosolewa!?, sasa kama kipindi ni wapinzani mnatujibu jeuri hivo wapiga kura wenu nani ata fikiria kuwaamini awakabidhi madaraka!!? Msi itaje tu demokrasia bali hiyo demokrasia ionekane ikitendeka, arrogance haitawapa madaraka.
Kitisho kikuu cha uhuru ni kukosekana kwa ukosoaji.

CDM wanafikiri ukosoaji ufanywe kwa serikali tu.
 
Anaandika Boniface Mwabugusi

HAKIKA SIWEZI KULA CHAKULA KATIKA MEZA HII.

HATUNA UHALALI TENA WA KUMLALAMIKIA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI.
Mwenyekiti yule aliingia na majina ya Wagombea kwenye KARATASI MFUKONI ila Mwenyekiti huyu amekuja na majina yake yenye jina la wake kwenye MKOBA WA KOKOA.

Kimsingi sikuamini kama kuna weza kuwa na Maagizo.Asubuhi yaleo nilipata Ujumbe wa kinabii kuhusu UKWELI.Neno la Mungu ni Upanga ukatao kotekote kumbe nilipewa neno lile ili kujua kwamba mida hii nitalazimika kutoa neno hili.

Uchaguzi wa CHADEMA NYASA siyo tu ni uhuni uliovuka Mipaka bali ni viini macho maluweluwe na Hardakadabra za Kisiasa.Haiwezekani chama chenye uwoga wa Demokrasia namna hii ya ndani tu kijinasibu eti kina kwenda kuchukua Nchi mwaka 2020 labda nchi ya kufikirika.cHAMA CHA NAMNA HII NI HATARI KABISA NA IWAPO HAKI JIAMINI NA KINAKIMBIZANA NA KIVULI CHAKE CHENYEWE SIKU KIKIKUTANA NA KIVULI KINZANIA KITA UWA KWA BOMU.ETI WANAKATA WAGOMBEA WOTE NA KUTULETEA JINA LA MGOMBEA NA KIVULI CHA MTU ....KHAAA KARNE HIIII

Sihoji sifa za walio bebwa na Mbeleko hii wengi wanasifa stahili kabisa na najuwa wamelazimika kufika hapo kama mbinu shirikishi tu ya Kiti kufika hapo ...hao wengi wangeweza kupita kwa hiyari yao kabisa bila hizi ila kwa sababu TOTO PENDWA atapitaje ilibidi TOTO TUNDU AKTWE....Kumbe kale kaposti ka nimetumwa na chama kalikuwa na ukweli ...Wagombea wanafasi zingine ni watu waadilifu ila kwa Hofu ya Mwenyekiti wa Chama anaonekana kutaka kufanya kile anacho kiamini yeye kuwa ni sahihi na kuweka watu anao wataka yeye kumpigia vigelegele.Kwanini aminye demokrasia....kwanini vikao voiendeshwe na kukanyaga kanyaga katiba....Nivema tukajua chama hiki kina Katiba AU KINAONGOZWA NA FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI MBOWE?! AIBU?!

Nilikuwa pale nimejisikia aibu kupindukia na sina TABIA YA KUSEMA UWONGO NA PENDA KUSEMA KWELI DAIMA NA KULIPA GHARAMA YA UKWELI HUO. CHADEMA kwa yaliyotokea Kanda ya Nyasa Mbele ya sehemu ya Kamati Kuu unafanyika utumbo na uhuni huu Sasa tunapata Viongozi kwa njia za kimachiaveli.....hILA,GHILABA NA USIGINAJI WA kATIBA ...tUNA HAKI GANI YA KUMKOSOA MAGUFULI...Tuna haki gani ya kumkosoa TULIA pale Bungeni...Tuna haki gani ya Kumlaani Jecha...Jecha alifuta matokeo sisi tunafuta wagombea UJINGA !

Hii ni aibu kubwa na Kuanzia sasa ni MNAFIKI...MBUMBUMBU ,**** NA MTU MWENYE TAAHIRA YA AKILI ATAKAYE KUBALIANA NA KAULI ZA HOVYO KAMA KUPINGA UDIKTEKTA WA MAGUFULI....SIJUI KUPINGA UDIKTETA WA TULIA ACKSON kwani kwa hila hizi za kusafirisha wajumbe kuja kushuhudia viini macho na maluweluwe TUNA LAZIMISHWA KUTHIBITISHA UNYUMBU KWA KUWEKA SAINI ZETU ZA VIDOLE....HII NI AIBU YA MWAKA NA MWENDA WAZIMU TU ATAKAYE KUBALIANA NA HILI.Kama Kamati Kuu inabusara kiasi hiki kwanini haikuwazuia wajumbe kwamba wasije kutoka huko waliko KAMA BUSARA ZA KITI ZINA TOSHA?!

Usiniulize kwamba ukaseme kwenye vikao vya chama mimi nitakujibu kwamba TUNAPO MKOSOA MWENYEKITI YULE WA CHAMA KILE HAPA HAPA BASI NA MWENYE KITI HUYU WACHAMA HIKI NA MAZINGAOMBWE YAKE TUTAMKOSOA HAPA HAPA.......

NIMEJISIKIA AIBU KUBWA KUWA SEHEMU YA HISTORIA HII YA KIJINGA ...SIWEZI KUKWEPA KUWAJIBIKA KWA KUKUBALI UJINGA HUU ....

Nilikuwa mbishi mara nyingi na nikipenda kusimama katika haki NI UHUNI NA UTAAHIRA KUENDELEA KUPIGA MBIZI KWENYE LAMI.

1. WATU WANAUWAWA
2.WATU WANASHITAKIWA
3.WATU WANA POTEA
4. WATU WANAFUNGWA

nimesema mara nyingi TUKIENDELEA KUPINGA UDIKTETA WA VIONGOZI HAWA TUSI SAHAU UKORA KATIA VYAMA VYETU ...TATIZO NI PALE UKORA UNAPOFANYWA NA ALIYETAKIWA KUZUIA UKORA.TUMEKWENDA HATUA 30 MBELE NA KURUDI NYUMA HATUA 29 NA KWA UJUHA TUTAKAA CHINI TUKIPONGEZANE ETI KUIONDOA CCM MWAKA 2020 .....TUKIFANIKIWA KWA NJIA HII HAKIKA HATA SHETANI ATAOKOKA.....HE BU ANGALIA TOFAUTI HII KURA ZA NDIYO 62 NA ZA HAPANA 44 yaani KIVULI NA MTU kwa nafasi ya mwenyekiti wana pishana kwa kura chache kiasi hiki nini maana yake?!

SIOGOPI KUSEMA UKWELI NITASEMA TU EVEN IF IT MEANS THE SKY TO FALL HAYA NI MATUSI KWA WATU WOTE WENYE AKILI TIMAMU NA MIMI NINALAANI KWA NGUVU ZOTE UPUUZI NA UJINGA HUU WA KIPUUZI KABISA...LETS COME AS IT MAY IAM READY TO PAY THE COST

Wajumbe halali ni 98
Waliosusia 28
Waliopiga kura ni 106
Kura za ndio kwa msigwa 62
Kura za hapana ni 44

Hii ikiwa na maana Ukichukua 44+28=72 ndio ulikuwa ushindi wa Sosopi. Kura zilizoongezeka kwa zile zilizopigwa ni 8
Yaan 106-8=8

Wajumbe waliopaswa kubaki ndani ukiondo waliokuwa wamekataa kuingia ndani ni 70 ni 98-28=70

Hii ikiwa na maana kulikuwa na wapiga kura 36 walioletwa na kuwa wajumbe wasio halali yaani 106-70=36
Hii inamaanisha kwamba katika hali ya kawaida hata kama wajumbe wale 28 wasingeingia kama walivyofanya mh Msigwa angeshinda kwa kura 26 tu 70-44=26

Yaani kwa ufupi kwa kutumia wajumbe halali
Sosopi 72 (73.5%)
Msigwa 26 (26.5%)


Sijui wewe ni mwana.CHADEMA au mwana-'Lumumba'....duh...mahesabu yako makali....
 
kwa mazingira hayo bora , kama lowasa atacharuka mapema , na kufanya mambo yake , na kulea wajukuu atakuja kuumia baada ya kupoteza fedha zake tusubiri tuone

~~~>>>Mbowe ni bingwa wa Kubadili gia Angani
 
Anaandika Boniface Mwabugusi

HAKIKA SIWEZI KULA CHAKULA KATIKA MEZA HII.

HATUNA UHALALI TENA WA KUMLALAMIKIA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI.
Mwenyekiti yule aliingia na majina ya Wagombea kwenye KARATASI MFUKONI ila Mwenyekiti huyu amekuja na majina yake yenye jina la wake kwenye MKOBA WA KOKOA.

Kimsingi sikuamini kama kuna weza kuwa na Maagizo.Asubuhi yaleo nilipata Ujumbe wa kinabii kuhusu UKWELI.Neno la Mungu ni Upanga ukatao kotekote kumbe nilipewa neno lile ili kujua kwamba mida hii nitalazimika kutoa neno hili.

Uchaguzi wa CHADEMA NYASA siyo tu ni uhuni uliovuka Mipaka bali ni viini macho maluweluwe na Hardakadabra za Kisiasa.Haiwezekani chama chenye uwoga wa Demokrasia namna hii ya ndani tu kijinasibu eti kina kwenda kuchukua Nchi mwaka 2020 labda nchi ya kufikirika.cHAMA CHA NAMNA HII NI HATARI KABISA NA IWAPO HAKI JIAMINI NA KINAKIMBIZANA NA KIVULI CHAKE CHENYEWE SIKU KIKIKUTANA NA KIVULI KINZANIA KITA UWA KWA BOMU.ETI WANAKATA WAGOMBEA WOTE NA KUTULETEA JINA LA MGOMBEA NA KIVULI CHA MTU ....KHAAA KARNE HIIII

Sihoji sifa za walio bebwa na Mbeleko hii wengi wanasifa stahili kabisa na najuwa wamelazimika kufika hapo kama mbinu shirikishi tu ya Kiti kufika hapo ...hao wengi wangeweza kupita kwa hiyari yao kabisa bila hizi ila kwa sababu TOTO PENDWA atapitaje ilibidi TOTO TUNDU AKTWE....Kumbe kale kaposti ka nimetumwa na chama kalikuwa na ukweli ...Wagombea wanafasi zingine ni watu waadilifu ila kwa Hofu ya Mwenyekiti wa Chama anaonekana kutaka kufanya kile anacho kiamini yeye kuwa ni sahihi na kuweka watu anao wataka yeye kumpigia vigelegele.Kwanini aminye demokrasia....kwanini vikao voiendeshwe na kukanyaga kanyaga katiba....Nivema tukajua chama hiki kina Katiba AU KINAONGOZWA NA FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI MBOWE?! AIBU?!

Nilikuwa pale nimejisikia aibu kupindukia na sina TABIA YA KUSEMA UWONGO NA PENDA KUSEMA KWELI DAIMA NA KULIPA GHARAMA YA UKWELI HUO. CHADEMA kwa yaliyotokea Kanda ya Nyasa Mbele ya sehemu ya Kamati Kuu unafanyika utumbo na uhuni huu Sasa tunapata Viongozi kwa njia za kimachiaveli.....hILA,GHILABA NA USIGINAJI WA kATIBA ...tUNA HAKI GANI YA KUMKOSOA MAGUFULI...Tuna haki gani ya kumkosoa TULIA pale Bungeni...Tuna haki gani ya Kumlaani Jecha...Jecha alifuta matokeo sisi tunafuta wagombea UJINGA !

Hii ni aibu kubwa na Kuanzia sasa ni MNAFIKI...MBUMBUMBU ,**** NA MTU MWENYE TAAHIRA YA AKILI ATAKAYE KUBALIANA NA KAULI ZA HOVYO KAMA KUPINGA UDIKTEKTA WA MAGUFULI....SIJUI KUPINGA UDIKTETA WA TULIA ACKSON kwani kwa hila hizi za kusafirisha wajumbe kuja kushuhudia viini macho na maluweluwe TUNA LAZIMISHWA KUTHIBITISHA UNYUMBU KWA KUWEKA SAINI ZETU ZA VIDOLE....HII NI AIBU YA MWAKA NA MWENDA WAZIMU TU ATAKAYE KUBALIANA NA HILI.Kama Kamati Kuu inabusara kiasi hiki kwanini haikuwazuia wajumbe kwamba wasije kutoka huko waliko KAMA BUSARA ZA KITI ZINA TOSHA?!

Usiniulize kwamba ukaseme kwenye vikao vya chama mimi nitakujibu kwamba TUNAPO MKOSOA MWENYEKITI YULE WA CHAMA KILE HAPA HAPA BASI NA MWENYE KITI HUYU WACHAMA HIKI NA MAZINGAOMBWE YAKE TUTAMKOSOA HAPA HAPA.......

NIMEJISIKIA AIBU KUBWA KUWA SEHEMU YA HISTORIA HII YA KIJINGA ...SIWEZI KUKWEPA KUWAJIBIKA KWA KUKUBALI UJINGA HUU ....

Nilikuwa mbishi mara nyingi na nikipenda kusimama katika haki NI UHUNI NA UTAAHIRA KUENDELEA KUPIGA MBIZI KWENYE LAMI.

1. WATU WANAUWAWA
2.WATU WANASHITAKIWA
3.WATU WANA POTEA
4. WATU WANAFUNGWA

nimesema mara nyingi TUKIENDELEA KUPINGA UDIKTETA WA VIONGOZI HAWA TUSI SAHAU UKORA KATIA VYAMA VYETU ...TATIZO NI PALE UKORA UNAPOFANYWA NA ALIYETAKIWA KUZUIA UKORA.TUMEKWENDA HATUA 30 MBELE NA KURUDI NYUMA HATUA 29 NA KWA UJUHA TUTAKAA CHINI TUKIPONGEZANE ETI KUIONDOA CCM MWAKA 2020 .....TUKIFANIKIWA KWA NJIA HII HAKIKA HATA SHETANI ATAOKOKA.....HE BU ANGALIA TOFAUTI HII KURA ZA NDIYO 62 NA ZA HAPANA 44 yaani KIVULI NA MTU kwa nafasi ya mwenyekiti wana pishana kwa kura chache kiasi hiki nini maana yake?!

SIOGOPI KUSEMA UKWELI NITASEMA TU EVEN IF IT MEANS THE SKY TO FALL HAYA NI MATUSI KWA WATU WOTE WENYE AKILI TIMAMU NA MIMI NINALAANI KWA NGUVU ZOTE UPUUZI NA UJINGA HUU WA KIPUUZI KABISA...LETS COME AS IT MAY IAM READY TO PAY THE COST

Wajumbe halali ni 98
Waliosusia 28
Waliopiga kura ni 106
Kura za ndio kwa msigwa 62
Kura za hapana ni 44

Hii ikiwa na maana Ukichukua 44+28=72 ndio ulikuwa ushindi wa Sosopi. Kura zilizoongezeka kwa zile zilizopigwa ni 8
Yaan 106-8=8

Wajumbe waliopaswa kubaki ndani ukiondo waliokuwa wamekataa kuingia ndani ni 70 ni 98-28=70

Hii ikiwa na maana kulikuwa na wapiga kura 36 walioletwa na kuwa wajumbe wasio halali yaani 106-70=36
Hii inamaanisha kwamba katika hali ya kawaida hata kama wajumbe wale 28 wasingeingia kama walivyofanya mh Msigwa angeshinda kwa kura 26 tu 70-44=26

Yaani kwa ufupi kwa kutumia wajumbe halali
Sosopi 72 (73.5%)
Msigwa 26 (26.5%)
Tume kusikia yaani unaimba badala ya kuongea. Basi kifupi tume vumilia mengi toka Uhuru yamefanyika mengi kuliko hayo toka Uhuru sasa wewe unataka tufanye je kama umeshindwa kuvumilia toka humu nenda hi5 ukacheze pets game.
mmezidi unafiki, oooh udikteta, huku hakunaga, wahuni tu
 
....HE BU ANGALIA TOFAUTI HII KURA ZA NDIYO 62 NA ZA HAPANA 44 yaani KIVULI NA MTU kwa nafasi ya mwenyekiti wana pishana kwa kura chache kiasi hiki nini maana yake?!
Huo ndio uchaguzi hata wakipishana kwa kura moja mshindi ni mshindi.

Sijawahi kusikia kura za waliosusia zikajumlishwa halafu ajabu unampa zote mtu unayemtaka wewe, unajuaje wangempigia unayemtaka, je unaweza kutuambia za waliosusia ziliharibika ngapi, ridiculous.
 
Shida CHADEMA wao wanajifanya ni malaika,hawakosei ,hawafanyi mabaya wao ni malaika,hawakosolewi kila atakayepinga ataambiwa ni mpinzani au ni mtu wa buku 7 wao CHADEMA viongozi wao ni miungu ,ukijaribu kusema ukweli unaonekana mbaya kwa kila mtu wengine hata hiyo CHADEMA hawaijui wamedandia tu leo ndio wanajaza server za JF,Chadema ile sio hii ,hii ni kikundi cha ubabaishaji aheri ya CCM mara 100.
Tujikite kwenye mambo ya msingi tuachane na hesabu za MAGAZUJUTO tujiulize Zanzibar vipi bara nako !
 
Nawashangaa Lumumba wanaolalamika, tuambieni kwanza Mwenyekiti wenu aligombea na nani mbona hatujasikia mkilalamika au mnaogopa kupotezwa.

Km CCM mwenyekiti aligombea peke ake ndio CHADEMA nao waige upuuzi wao?

Sasa tofauti itakuwa wapi kati ya chama cha magamba na chama cha demokrasia huoni km wote wana sail ktk same boat?
 
Hakuna kero kama kutazama maelezo marefu yasiyo na pointi!!
Aiseea
Elewa mantiki,Sio kukurupuka!
Ccm itoke madarakani maana imeishiwa pumzi!Hayo mambo sijui ya mwenyekiti mkoa ndio iwe angle yenu,ni upuuzi tu!
Kuna watu wanapenyeza mapandikizi,lazima yazuiwe kwa namna yoyote!
Aisee mbona mada imejieleza vizuri sana kwa hiyo unaamini CCM inatoka kirahisi hivyo
 
Back
Top Bottom