Mbowe admits failure to declare assets

Nadhani ilikuwa ni mbinu ya Mbowe kujinasua kwa yule Mzee (jaji) mind you it was the second time for him to stand before Pilato kwa makosa tofauti.Nimekubali mbinu yake ya mbaazi kukosa maua kwa kisingizio cha jua.Hapa labda Jaji awe "Mechanical" ndio atashughulika nae lakini "organical" lazima huruma itaingia tu japo sheria inatizamwa.

My friend Mbowe,jipange na kuwa makini na system iliyopo usije ukachizika muda si mrefu maake Magamba na miundo mbinu yake inaweza kukufanya "ukaranduka" badala ya "kubanjuka".Am talking as a human being,jamaa mpaka anatia huruma utadhani SOWETO.
 
Sory hivi unauliza au unatoa taarifa inayomuhushu mh. Mbowe? kama ni taarifa jifunze kuweka source ili iwe supportive
 
Mbowe: Kesi zimeniletea msongo wa mawazo

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, ameliambia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuwa, ameshindwa kujaza fomu za kutangaza mali zake kutokana na msongo wa mawazo.

Akihojiwa kwenye baraza hilo jana, Mbowe alisema tangu umalizike Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, amekumbwa na mambo mengi, ikiwa ni pamoja na kesi mbalimbali ambazo zimemsababishia msongo wa mawazo na kumwathiri kifamilia.Alisema alifikishwa katika mahakama tatu tofauti, zikiwamo Mahakama Kuu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na Hai kwa tuhuma mbalimbali ambazo zimemsababishia msongo wa mawazo.

“Katika kipindi chote hicho nimekuwa kwenye mahakama tatu tofauti nikituhumiwa kwa mambo mbambali ambayo ni matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana na matokeo ya kazi yangu,”alisema Mbowe na kuongeza:
“Siilaumu Tume kwa lolote, naiheshimu sana na naheshimu kazi yao, niliona kuliko kujaza kwa makosa ni bora nichelewe kuileta,”alisema.

Mwenyekiti huyo wa Chadema alisema pia kutokana na mali na biashara alizonazo alishindwa kujaza fomu hizo kwa wakati kwa sababu ana makazi sehemu tatu na kote huko kuna mali zake.
“Naliomba radhi Baraza, ratiba yangu imekumbwa na mambo mengi sana. Mimi ni mbunge na ni kiongozi wa chama cha siasa hivyo, nilikosa utulivu wa kujaza fomu kwa wakati,”alisema.

Kapteni Komba adai jina lake limekatwa
Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba amesema ameshangazwa kuitwa katika baraza hilo wakati yeye alijaza fomu na kuirejesha kwenye Ofisi ya Bunge.

“Sina mali za kutisha hadi niogope kujaza fomu, mimi nina vijihela tu kidogo kama Mtanzania mwingine wa kawaida,”alisema Komba na kuongeza kuwa:
“Nina marafiki wengi kama kina Bakili Muluzi wamenipa mahela sasa ningeyafanyia nini,”:
Komba pia alilalamikia jina lake kukatwa katika orodha ya wabunge wengine ambao walikuwa wamerejesha fomu na kudai kuwa hiyo ni hujuma.

“Wana lao jambo haiwezekani jina langu liwemo kwenye orodha ya wabunge waliorejesha fomu halafu lionekane limekatwa,”alisema.
Mbunge huyo aliitaka tume hiyo iwasiliane na viongozi husika moja kwa moja badala ya kupitia kwa spika kwa sababu katika suala la kutangaza mali hawawajibiki kwa spika. Mwenyekiti wa baraza hilo, Jaji Damian Lubuva alisema baada ya kusikiliza utetezi wa viongozi hao watatoa uamuzi na mapendekezo yao kwenye mamlaka zinazohusika.



Teeh..............teeeh....mmmh,hii ya Komba nimeipenda maake inanikumbusha movie moja ya "Delta Force" part II wakati ndege imetekwa na Waarab(Muslim brotherhood) baada ya kukusanya na kuchambua passport za Waisrael waliomo ndani ya ndege hapa majina yalianza kuitwa.Bwana mmoja baada ya kuitwa jina alisikika akilalama kama hivi "you are making a mistake....a big mistake,am not a jewish am from Chicago.....ask...father(huku akimtizama Baba Askofu mmoja aliyekuwa Jirani yake).Hapa Komba anaonekana kulalamikia upotevu wa record zake pamoja na jina lake kuwa ndani ya watuhumiwa!
 
"nimeshindwa kujaza fomu zakutangaza mali zangu kwasababu ya msongo wa mawazo" jamani huyu Aluatani hapa kaniboa siasa imemlewesha au ndo woga umemuingia baada ya kuwekwa kizuizini? Au anaumwa Zittophibiasis? Maana nae alianza hivihivi.
Aingizwe kenye list ya mafisadi, kumbe list haikukamilika!
What a weak defence
 
Ndugu wanaJF Suala la Mbowe kushindwa kuijaza fomu kuelezea utajiri wake si suala la kuwa NA MSONGO WA MAWAZO BALI NI MAELEZO YA WAPI ALIZIPATA MALI HIZO NA HOFU YA NAMNA HII INADHIHIRISHA KUWA KUNA MALI ALIZOPATA KIMAGENDO Kama si hivyo kwanini ahofie wakati ni suala lakuchukua mwanasheria wake nakujaza fomu fasta.
 
ndugu wanajf suala la mbowe kushindwa kuijaza fomu kuelezea utajiri wake si suala la kuwa na msongo wa mawazo bali ni maelezo ya wapi alizipata mali hizo na hofu ya namna hii inadhihirisha kuwa kuna mali alizopata kimagendo kama si hivyo kwanini ahofie wakati ni suala lakuchukua mwanasheria wake nakujaza fomu fasta.

hiyo tume ya maadili haina tofauti na takukuru. Je wanao jaza hizo fomu wanajaza kwa uhakika? Tueleze ni lini wafuatao walijaza hizo fomu.
1. Jk
2. Lowasa
3.rostam
4. Ridhiwani
na kama walijaza waliorozesha kampuni zao zote huko na zile zilizo andikwa majina ya ndugu zao?


Watu wengi sana hawajajaza kwani wewe umemuona mboye tu. Kikwete ni lini alijaza hizo fomu? Na mboye hajawahifanya kazi serikalini, na ni ndoto uwe mpinzani wa serikali halafu ufanye biashara kimagendo. Tuambie mtu ambaye ni mpinzani wa ccm halafu anafanya biashara kimagendo. Tra hawawezi kukuchelewesha.
- hizo fomu hazijajazwa na hata nusu ya wabunge na si kwamba kujaza fomu ndo kwamba wewe ni msafi.
Je nini faida ya kujaza hizo fomum?

Umeelewa?
 
Ndugu wanaJF Suala la Mbowe kushindwa kuijaza fomu kuelezea utajiri wake si suala la kuwa NA MSONGO WA MAWAZO BALI NI MAELEZO YA WAPI ALIZIPATA MALI HIZO NA HOFU YA NAMNA HII INADHIHIRISHA KUWA KUNA MALI ALIZOPATA KIMAGENDO Kama si hivyo kwanini ahofie wakati ni suala lakuchukua mwanasheria wake nakujaza fomu fasta.

mada ya kipuuzi hii , fomu wanazojaza za maadili ni kwa ajili kuweka wazi mali zako na si utajiri , rudi shule kajaribu kujifunza mali na utajiri tofauti yake ni nini
 
polisiii kamata mwizi huyoooooooooooo


Kwa taarifa yako Mbowe amezaliwa with a 'silver spoon'. Pesa iko toka kwa Mbowe Sr na kwa bahati amekuwa na akili ya biashara kwa hiyo ameweza kundeleza rasilimali alizoachiwa pamoja na ku-diversify. Na hata unaweza kuona mchango wake kwenye chama tangu alipochukwa kiti toka kwa Mzee Makani. On the other hand, magogoni wamejaza?
 
Nadhani ilikuwa ni mbinu ya Mbowe kujinasua kwa yule Mzee (jaji) mind you it was the second time for him to stand before Pilato kwa makosa tofauti.Nimekubali mbinu yake ya mbaazi kukosa maua kwa kisingizio cha jua.Hapa labda Jaji awe "Mechanical" ndio atashughulika nae lakini "organical" lazima huruma itaingia tu japo sheria inatizamwa.

My friend Mbowe,jipange na kuwa makini na system iliyopo usije ukachizika muda si mrefu maake Magamba na miundo mbinu yake inaweza kukufanya "ukaranduka" badala ya "kubanjuka".Am talking as a human being,jamaa mpaka anatia huruma utadhani SOWETO.

awe ana delegate some of the powers kwa assistants wake asiwe na ubahili hahahahahha
 
gazeti la mwananchi la leo limeandika kuwa mhe freeman mbowe atasimamishwa katika baraza la maadili kesho 16 june 2011 ili kujibu tuhuma za kutowasilisha fomu zinazoonesha mali na madeni yake.

Huyu mheshimiwa ni siku chache tu zilizopita aliionesha dharau kubwa kwa mahakama mpaka ikabidi aswekwe polisi. Serikali ililazimika kumpeleka mahakamani chini ya ulinzi makali kama mhalifu asiye wa kawaida.

Watanzania wanajiuliza;
a. Tunastahili kuwa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni mtovu wa nidhamu kiasi hiki?
B. Kwa nini mbowe anaogopa kutaja mali zake?? Anaficha nini??
C. Chama chake kilikosa mtu mwingine wa kushika wadhifa huu wa heshma? ...mbona mhe zitto kabwe alitaka kugombea nafasi hiyo akakatazwa na ndugu zake mbowe?
D. Wanaomzunguka kama mhe g. Lema wanachangia katika kudidimiza nidhamu ya kiongozi huyu?

Dunia inaendelea kutucheka kwani kiongozi wa upinzani hatakiwi kuwa mhuni.

mama yako ndo muhuni, na huyo bwana yako mwingine aliye kutuma wote ndo wahuni. Nilini kikwete alijaza fomu za maadili?
Kenge mkuu msaidizi wewe.
 
mada ya kipuuzi hii , fomu wanazojaza za maadili ni kwa ajili kuweka wazi mali zako na si utajiri , rudi shule kajaribu kujifunza mali na utajiri tofauti yake ni nini
Hata akirudi shule haitasaidia maana hataelewa huyo. Dalili zote zinaonesha ubongo umesinyaa.
 
Huyu Mbowe hafai kabisa kuwa ktk kambi ya upinzani. Ni aibu kwa kubwa Chedema kuwa na kiongozi asiyeheshimu sheria za nchi. Huyu Mbowe inabidi ajibu mashitaka yote yanayomkabili, na atolewe haraka ktk kambi ya upinzani.
 
Huyu Mbowe hafai kabisa kuwa ktk kambi ya upinzani. Ni aibu kwa kubwa Chedema kuwa na kiongozi asiyeheshimu sheria za nchi. Huyu Mbowe inabidi ajibu mashitaka yote yanayomkabili, na atolewe haraka ktk kambi ya upinzani.

wewe ndo unafaa?! Acha kufikiri kwa tumbo!
 
Kishogo,john10, Tumaini letu,the dirty paka/nyau,Lole Gwakisa na wote kwenye mtando
Wenu wa kuchumia Tumbo. Nawashauri mkajipange vizuri mje na mada zenye Mashiko
, Kwa hili mmepotea maboya hamtafanikiwa kubadilisha waelewa na magreat Thinkers wa JF. Labda meunde vijijini kwa waTZ miliwanyima elimu. Na hata nao siku hizi wame
Elimika. Kamwambieni bosi wenu Nepi akajipange upya
 
Gazeti la Mwananchi la leo limeandika kuwa Mhe Freeman Mbowe atasimamishwa katika Baraza la Maadili kesho 16 June 2011 ili kujibu tuhuma za kutowasilisha fomu zinazoonesha mali na madeni yake.

Huyu Mheshimiwa ni siku chache tu zilizopita aliionesha dharau kubwa kwa mahakama mpaka ikabidi aswekwe polisi. Serikali ililazimika kumpeleka mahakamani chini ya ulinzi makali kama mhalifu asiye wa kawaida.

Watanzania wanajiuliza;
a. Tunastahili kuwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni mtovu wa nidhamu kiasi hiki?
b. Kwa nini Mbowe anaogopa kutaja mali zake?? anaficha nini??
c. Chama chake kilikosa mtu mwingine wa kushika wadhifa huu wa heshma? ...Mbona Mhe Zitto Kabwe alitaka kugombea nafasi hiyo akakatazwa na ndugu zake Mbowe?
d. Wanaomzunguka kama Mhe G. Lema wanachangia katika kudidimiza nidhamu ya kiongozi huyu?

Dunia inaendelea kutucheka kwani kiongozi wa upinzani hatakiwi kuwa mhuni.


Hizi ni chiki binafsi tu, wewe una chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom