Mbowe acha kug'aka ovyo. Wewe unajulikana fika ni msaliti

Chadema imekufa nilikuwa naandika hapa mara kadhaa sasa hadharani, maalim seif CUF ilikufa kama hivi lakini Maalim Seif ni mtaalamu alitumia dakika 10 tu kutangaza namna kuwahami wanachama wake na taasisi sasa ACT ishaota mizizi Zanzibar

Kama Magufuli aliishindwa kuiua CHADEMA akafa yeye, hayo maneno yako ni kama kujifariji.
 
Mbowe alibadili gia angani kumleta Lowasa Chadema halafu wakati huohuo akawa anashirikiana na akina Mwigulu kwa kutumwa na JK kumhujumu Lowasa.

Kiufupi alikuwa anacheza double game!

Watu mnajifanya mnajua mambo kumbe hakuna lolote. Mmebaki kuropoka baada ya Nia zenu mbaya za kuiua CHADEMA kufeli na kubwa la maadui kufa na kuicha CHADEMA ikiendelea.
 
Alipotoka jela kule kabla hajaoga alipita Ikulu kwanza sasa unategemea nini

Ndio mlichobakiza. Kwa kweli mmechanganyikiwa. Kwa hivyo ikulu alijipeleka mwenyewe. Nenda na wewe ikulu Kama unadhani ni pa kuingia Kama chooni. Punguza unafiki
 
Chadema hivi sasa kuna mpasuko au mchaniko?

Maana mnyukano wa mipasho ya maneno uko moto halafu wanajuana vizuri mno,
kule diaspora wa America, huku diaspora wa Europe, huku kibaraka na kundi lake, kule makapuku 😜

Naona CHADEMA inakuumiza Sana. Mara kuna mpasuko mara imekufa nk. CHADEMA ilimchanganya Magufuli mpaka akafa. Sembuse wewe .
 
Tuwape nchi nyie mlivyo na njaa kali miaka mitatu ya mwanzo mapato ya serikali yatatumika kukijenga chama kiuchumi

Acha kuongea assumptions. Kitu hakijafanyika una lazimisha kionekane kimefanyika. Muulize mkapa, amekiri aliiba mabilioni ilibkuisaidia CCM kushinda. Kuna wezi zaidi ya CCM?.
 
Naona CHADEMA inakuumiza Sana. Mara kuna mpasuko mara imekufa nk. CHADEMA ilimchanganya Magufuli mpaka akafa. Sembuse wewe .
sana,
sio siri naumia mno kuyakosa maigizo yao, Piiiiipoooozziiiiii😂

Kuna lile igizo la No fear No hate 😜

eti watetezi wa wanyonge kumbe bana ni watetezi wa matonge 😂
 
Siku mkigundua chadema ni taasisi ya wezi mtakua mmechelewa.

Ilikuibia Nini?. Acha kuwa mnafiki. Mkapa amekiri hadharani kuwa aliiba pesa ili kuisaidia CCM kushinda uchaguzi 2005. Magufuli akaunda kamati ya bashiru kuangalia upotevu wa Mali za chama Cha CCM. Hadi Leo ile ripoti imefanywa Siri.
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Mpigeni mawe afe huyo gaidi
 
sana,
sio siri naumia mno kuyakosa maigizo yao, Piiiiipoooozziiiiii😂

Kuna lile igizo la No fear No hate 😜

eti watetezi wa wanyonge kumbe bana ni watetezi wa matonge 😂

Naona unajichekesha, huku ukijua mwizi ni nani. CCM inekamata halmashauri zote, ila ripoti ya CAG inabaini wizi kila siku. Waziri mkuu kila akienda kwenye halmashauri ni upigaji tu.
 
Naona leo umeg'aka sana eti kuna watu wanasema wewe ni msaliti. Hii ni kweli kabisa wewe ni msaliti na unapenda sana ndululu.

Mwaka 2015 tulikubalika kiasa cha almanusura tuchukue dola . Maana CCM ilikuwa imechafuka kwa ufisadi.

Lakini ukauza chama chetu kwa Lowasa aliyekuwa amaechafuka.

Leo hii umetusaliti kwa kulamba asali.

Hata sakata la Bandari aliyekomaa sana ni Lissu. Wewe hamna. Wewe ni msalitu bana.
Punguza Jazba utapasuka bureeee Achana na Kamanda sio level yako
 
Naona unajichekesha, huku ukijua mwizi ni nani. CCM inekamata halmashauri zote, ila ripoti ya CAG inabaini wizi kila siku. Waziri mkuu kila akienda kwenye halmashauri ni upigaji tu.
Report ya Chadema inasemaje?

naomba kufahamu mapato na matumizi ya michango ya Join the chain na matumizi yake kwa risiti 😳

naomba kujua status ya matumizi ya chama tangu nilipo pigwa risasi nikaenda ng'ambo kutibiwa 😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom