Mbona mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya mara kwa mara hayaleti tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,402
74,007
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.

Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.

Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Ni mpango wa kugawana nyara tu
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Tutamkumbuka MaRope kama Sukuma Gang wanavyomkumbuka mungu wao Jiwe...

Tumekuwa majinga kwa kiwango cha kuamini mwanasiasa aitwaye waziri ndio suluhisho la tatizo la mgao wa umeme....
 
Hata mabadiliko ya Wakurugenzi
Mfano Mkurugenzi wa Dodoma Jiji
Mkurugenzi aliye ondolewa aliingilia maeneo ya Nkuhungu yaliyo kuwa yamepimwa na Yana hati miliki na deed plan yeye Kwa ujanja ujanja wake kutumia wanasiasa na wataalam kuanzia mkkoani mpaka wizarani wamefanya maeneo ya Nkuhungu,Matuli yaonekane kama hayajaeahi kupimwa na kupangiwa matumizi
Hivyo Mkurugenzi aliyeondoka aka force itumike Sheria ya Eneo kupimwa Kwa kutumia Mabalozi wa mitaa ili apate asilimia 30 za upimaji
Mbaya zaidi hizo asilimia walizo nyanganywa wenye hati hata fedha zake hazijaingia Jiji
Ukienda unakuta Wavamizi ndiyo wamepewa eneolako
Hao Wavamizi wamelipa Nani mpaka wawe na haki yakuwepo kwenye Eneo lililo kuwa linamilikiwa na kulipiwa na aliye dhulumiwa?

Huyu Mkurugenzi Mpya haoni kuwa atakuja kulipa dhuluma hii kama wale wa Arusha walio dhulumu maduka ya fedha za kigeni?!!

Huu mchongo wa kujitajirisha maafisa Ardhi wa Jiji Kwa kuwalambisha Mabalozi Kwa mtindo wa Uvamizi Utaliingiza Jiji la Dodoma katika deni kubwa Sanaa!!

Kama ni Siasa naamani Wavamizi wamalizane na wenye hati halali

Siyo kuwanufaisha Maafisa Aridhi
Kwani kesi ya haki zawatu wenyewe watakuwa wametajirika Jiji ndilo litapata hasara hivyo ni hasara Kwa Watu wote wa Dodoma
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Unafikiri kwenye kuendesha nchi kuna taa ya ajabu ya Aladin wa Alfu lela u lela?

Unatolewa kwenye minyororo ya umasikini bado huoni.

Unafahamu kuwa mara ya kwanza Tanzania watu wanapewa ardhi ya kilimo, wanapewa mafunzo ya kilimo na ujasiriamali wake, unapewa kuanzia shamba, kusafishiwa shamba, mpaka iuv u kulima na mpaka soko la mazao yako kwa kuwezeshwa?

Wewe itakuwa ni katika wale wenye macho lakini hayaoni, una mamasio lakini hayasikii, kwenye mioyo yao kuna maradhi...
 
Mabadiliko ya Balaza yanatuletea uhaba ongezeko la bei ya mafuta. :D :D
 
Hata mabadiliko ya Wakurugenzi
Mfano Mkurugenzi wa Dodoma Jiji
Mkurugenzi aliye ondolewa aliingilia maeneo ya Nkuhungu yaliyo kuwa yamepimwa na Yana hati miliki na deed plan yeye Kwa ujanja ujanja wake kutumia wanasiasa na wataalam kuanzia mkkoani mpaka wizarani wamefanya maeneo ya Nkuhungu,Matuli yaonekane kama hayajaeahi kupimwa na kupangiwa matumizi
Hivyo Mkurugenzi aliyeondoka aka force itumike Sheria ya Eneo kupimwa Kwa kutumia Mabalozi wa mitaa ili apate asilimia 30 za upimaji
Mbaya zaidi hizo asilimia walizo nyanganywa wenye hati hata fedha zake hazijaingia Jiji
Ukienda unakuta Wavamizi ndiyo wamepewa eneolako
Hao Wavamizi wamelipa Nani mpaka wawe na haki yakuwepo kwenye Eneo lililo kuwa linamilikiwa na kulipiwa na aliye dhulumiwa?

Huyu Mkurugenzi Mpya haoni kuwa atakuja kulipa dhuluma hii kama wale wa Arusha walio dhulumu maduka ya fedha za kigeni?!!

Huu mchongo wa kujitajirisha maafisa Ardhi wa Jiji Kwa kuwalambisha Mabalozi Kwa mtindo wa Uvamizi Utaliingiza Jiji la Dodoma katika deni kubwa Sanaa!!

Kama ni Siasa naamani Wavamizi wamalizane na wenye hati halali

Siyo kuwanufaisha Maafisa Aridhi
Kwani kesi ya haki zawatu wenyewe watakuwa wametajirika Jiji ndilo litapata hasara hivyo ni hasara Kwa Watu wote wa Dodoma
Waende mahakamani as long as walikuwa na hati halali...
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Nchi ni "sold out"
 
Waende mahakamani as long as walikuwa na hati halali...
Kunao walio kwenda Mahakamani na amri ya uvunjaji zikatolewa Kilichofuatia ni kuundwa kamati hivyo kuzuia utekelezaji kisiasa kwani msimamizi wa kuona amri inatekelezwa ni Mkuu wa Wilaya
Sasa Mkuu wa Wilaya akiweka barua kwenyewe droo Nani atasimamia!!
Utarudi kwenye Mahakama ipi wakati Mkuu wa Wilaya ndiye Raisi wa Wilaya!?
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Yanaleta tija kwao na familia zao.
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri , lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Nani alikwambia kuwa hayo mabadiriko huwa na lengo la kuleta tija?!huyo mchengerwa ,jenister toka wamekaa humo kuna chochote cha maana wamefanya?lakini mbona kila siku wamo tu?!!
 
Tumekuwa majinga kwa kiwango cha kuamini mwanasiasa aitwaye waziri ndio suluhisho la tatizo la mgao wa umeme....
Zitto na muhusika walisema Umeme unakatika kwa sababu zaidi ya miaka Sita mifumo ya Umeme haikufanyiwa ukarabati. Wakatangaza Ukarabati na kuweka "software mpya ya kihindi" kuongeza ufanisi wa Tanesco!!!

Sasa hivi hawatuelezi sababu nyingine ya kukatika kwa Umeme!
 
Zitto na muhusika walisema Umeme unakatika kwa sababu zaidi ya miaka Sita mifumo ya Umeme haikufanyiwa ukarabati. Wakatangaza Ukarabati na kuweka "software mpya ya kihindi" kuongeza ufanisi wa Tanesco!!!

Sasa hivi hawatuelezi sababu nyingine ya kukatika kwa Umeme!
Sasa ulitegemea ukarabati ungefanyika kwa miezi mitatu? Tatizo mangwini wengi wanafikiri kuweka miundombinu imara na ya uhakika ya umeme kwa Taifa ni sawa na kutunga beti sita za mashairi ya Andanenga...
 
Back
Top Bottom