Zinduka wewe huyo mpenzi wako ana kazi au shughuli yoyote inayomwingizia kipato?
Je! anaishi kwake au kwa wazazi au ndugu?
Kama ana kipato cha ziada hapo sawa hana shida na visenti vyako anauhitaji muhogo wako zaidi.
Kama hana kazi yoyote basi shituka kuna mtu anamtimizia mahitaji kwako yuko kimapenzi zaidi, labda yule alienae hampi shughuli pevu hivyo anaipata kwako.Tafakari Chukua Hatua.
Hapana.mi naona hata kama ana vijisent vya kutosha bado si sababu ya mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kushindwa kununua chochote jamani mie naona imekaa vibaya