Mbona haniombi kitu?

Zinduka wewe huyo mpenzi wako ana kazi au shughuli yoyote inayomwingizia kipato?
Je! anaishi kwake au kwa wazazi au ndugu?

Kama ana kipato cha ziada hapo sawa hana shida na visenti vyako anauhitaji muhogo wako zaidi.
Kama hana kazi yoyote basi shituka kuna mtu anamtimizia mahitaji kwako yuko kimapenzi zaidi, labda yule alienae hampi shughuli pevu hivyo anaipata kwako.Tafakari Chukua Hatua.
labda anakuona pochi alolo ndo mana hakuombi maana anajua asije akalianzisha halafu wewe ukaendeleza
 
My well being is my responsibility. I pay my dues, thats how mama taught me. Then why would i ask anything from you while i can take care of myself huh? Acheni ushamba wanaume mkipendwa for who you are mnataka mpendwe for what you are, mkipendwa for what you have mnataka mpendwe for who you are, whats wrong witchu creatures!

mamii hawajui wanataka nini, wengi wapo wapo tu, ukimpenda anadhani umependa walet yake, na ukipenda walet yake anaanza kupiga mayowe ati anaibiwa
 
Jamani ndugu zangu ni mpenzi wangu ambaye tangia tuanze kujuana takriban miaka miwili sasa hajawa kuniomba kitu chochote hata vocha mpaka hvi sasa tunaplan ya kustart tht new life.na mimi mwenyewe sijawahi kumpa chochote kotelia mbali hata kama hajaniomba.je hapa pana tatizo katika maisha ya mahusiano?
@mtukwao
wewe muliza swali ndo unatatizo coz yaonyesha ushazoea kuchunwa kweli.
 
mamii hawajui wanataka nini, wengi wapo wapo tu, ukimpenda anadhani umependa walet yake, na ukipenda walet yake anaanza kupiga mayowe ati anaibiwa

Ndo tatizo watu wanaoishi kwakukariri maisha
 
Aisee jiangalie kijana ubahili huo utakugharimu...mwanamke awe vyovyote alivyo,hata kama akijitosheleza vipi lakini anahitaji kujisikia kuna mtu anamjali hasa hasa akiwa mpenzi wake,jamani hata zawadi ya leso inakushinda???ningekuwa mimi ningeshakutema siku nyingi sana ingebaki historia,halafu ujue manaume ukiwa bahili hata mvuto unapoteza.

kwan kuonyesha unamjali mtu ni lazima utumie pesa we......... Nini
 
Mkuu hiyo ni hali ya hatari sana...sio kama hahitaji msaada wako..ni kwamba anakuangalia na kujiuliza hivi huoni kama anaweza kuwa anahitaji msaada wowote kutoka kwako...hutoi kwa vile anashida au amekuomba hapana...hii inaweza kuja kuleta shida baadae maana huna hiyo tabia ya kutoa...mkiishi pamoja hatakuomba hela ya matumizi lakini wewe utaona matumizi yanapatikana nyumbani. sasa hapo utajiuliza mbona sijatoa hela ya kununua hichi kitu? watu kama hao ni hatari sana..wakimya lakini ni mtego kujua kama mwanaume anayatambua majukumu yake au sivyo...shtuka mkuu chukua tafadhari toa support kwa mtarajiwa bila kusibiri yeye kuomba.
 
Uncle iko tatizo...mwanamke ameumbwa as receiver lol yeah thats true. Wewe mhonge kama atakataa. Mimi naona huyo keshakuona kuwa labda mnaendana mambo yote bali katabia ya ubakhili unayo. Ana malengo yake, but simple mimi naona haileti picha...I would have labelled you names and worst still inawezekana ukawa mume suruali.

Labda kesha kuomba kiaina yaani sometimes indirectly mtu aweza kukuelezea matatizo yake, kama mtu inafikira pevu utajua tu kama msaada unahitajika, kwahiyo yawezekana umeombwa but ukawa mzio kufahamu tendawili hilo.

Bwana mwanamme asipohonga hata ua/flower ananitoa taste vile, just that.
 
Kuna watu hawana tabia ya kuomba hata kama ana shida aakaa kimya. Wewe jitambue, na tambua nafasi yako.
Wewe angalia uwezo wako, toa msaada pale unapo weza sio mpaka uombwe. kama mnapendana kweli, she is the ideal Girl if not woman.
 
Kausha tu mkuu wala hakuna tatizo, tena anaweza kuanza kukupa yeye hapo ndo utajua kuwa kuna mwenzako anaemgaramikia. (KULA KWA NAKSHINAKSHI)
 
Wengine huwa hatuwezi kuomba. Inawezekana na huyo mmojawapo. Ni tabia tu ya mtu usihofu. Ina maana hata zawadi hampeani?
 
Back
Top Bottom