Butibunango
Member
- Feb 28, 2015
- 52
- 12
Jamani,. Mengi yatasema wiki hii.
So what hata kama balali yuko
hai.watu humu kwa kujipa matumaini hewa hawajambo.öoh,mara lowasa ni kiboko,ooh atamwaga mrenda WAPI?
Kwa ufupi jamaa ndo alitakiwa kuwa next prez lakni amekaa kimya hadi propaganda juu
yake zikawa kweli
UWAPI UMAHIRI WAKE KISIASA?
Balali nilikutananae mwaka jana Ubungo mataa kanenepa kinoma
Umejiunga lini wewe?. Ulishajua mpaka kupost thread mpya! Kazi ipo.
kazi ipo kwako..am a member for a year now! hata hivyo acha kupindisha thread..changia km mtu mzima siyo kama zezeta! kama hauna la kuandika soma kisha ondoka zako..nyie ndio mnaojifanya km ccm..oh sisi tulikuwepo tangu uhuru..hivvi vya juzi tu..Jenga hoja,acha upunguani! HATA BIBLE KWNY MHUBIRI inasema heri kijana maskini mwerevu kuliko mfalme mzee mpumbavu,! FICHA UPUMBAVU WAKO!
Kuna tetesi zinasambaa kwenye viunga mbali mbali kuwa kile ambacho mapacha watatu wanajidai nacho ni 'kifo' cha aliyekuwa gavana wa BOT,Balali. Inasemekana kulikuwa na makubaliano ya 'kumuua' ili kuficha skendo nyingi za EPA ikiwemo KAGODA ambayo inadaiwa ilimuingiza ikulu mkuu wa kaya na chama. Duru zinatonya kuwa Balali yupo hai akiwa anaranda na mask ya sura nyingine.Imepangwa HIVI wakitimuliwa,'atafufuliwa' na kuweka wazi kila kitu.
MMMH HIVi kwa nini MAZISHI,KABURI lake etc yalikuwa siri?..TAFAKARI!
Siku Lowasa atakapohitilafiana na Kikwete/CCM kikwelikweli;patakuwa hapatoshi bongo hapa patachimbika zaidi ya ft elfu ishirini kwenda chini!
Nioioita kwa D Balali maeneo ya Mafinga mwaka jana aisee pamechoka hatari. Yaan kama nyumba iliyohamwa..angekua hai kungekuwepo na hata ka ahueni kidogo....au waliamua kufreez kila kitu chakeKuna tetesi zinasambaa kwenye viunga mbali mbali kuwa kile ambacho mapacha watatu wanajidai nacho ni 'kifo' cha aliyekuwa gavana wa BOT,Balali. Inasemekana kulikuwa na makubaliano ya 'kumuua' ili kuficha skendo nyingi za EPA ikiwemo KAGODA ambayo inadaiwa ilimuingiza ikulu mkuu wa kaya na chama. Duru zinatonya kuwa Balali yupo hai akiwa anaranda na mask ya sura nyingine.Imepangwa HIVI wakitimuliwa,'atafufuliwa' na kuweka wazi kila kitu.
MMMH HIVi kwa nini MAZISHI,KABURI lake etc yalikuwa siri?..TAFAKARI!