Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Cha msingi naamini Mungu anatupenda na kutusikiliza na kuyajibu maombi yetu
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa imani ipo siku tutafunuliwa kila k2 na watesi wetu wataachwa uchi ili kila nafsi iwashuhudie,kwa Mungu na kwa mwenye imani kila ki2 kinawezekana chini ya mbingu
Asiyejua kufa na achungulie kaburi,na mwenye kubisha akasome historia za watu na falme zao,Mobbutu,Bokhassa,Saddam,Pinocheti,Rumi.E.Russian.E.,Ottoman.E.n.k
Tuendelee kumwomba Mungu wetu kwa imani ipo siku tutafunuliwa kila k2 na watesi wetu wataachwa uchi ili kila nafsi iwashuhudie,kwa Mungu na kwa mwenye imani kila ki2 kinawezekana chini ya mbingu
Asiyejua kufa na achungulie kaburi,na mwenye kubisha akasome historia za watu na falme zao,Mobbutu,Bokhassa,Saddam,Pinocheti,Rumi.E.Russian.E.,Ottoman.E.n.k