DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,328
Fanya mtongozo wako kwa mwanamke Wa ndoto zako uwe Wa mafanikio!
Najua wanaume wengi tunapenda kuwa na warembo ila wachache hufanikiwa!
Usiwaze leo nakupa mbinu ambazo utasahau mitoso na lugha chafu za warembo!
1. Mfanye mwanamke ajitathimini kwako!
Yes ni mzuri ila usionyeshe mfadhaiko na kukosa confidence. Inabidi ujioneshe una vigezo vyako na ana jukumu la kukulidhisha! Kumbuka warembo hutongozwa na wanaume wengi,kuwa tofauti
Mfano muulize"ni kitu gani kinakufanya tofauti na wanawake wengine?"
Hapa demu atajifaragua kwa Maelezo lukuki huku unatupia vijiswali
Unaweza ukamuuliza "sidhani kama wewe ni type yangu!
Be different
2. Tumia miondo sawa ya mwili
Mara nyingi unapomfukuzia mwanamke siku za mwanzoni huangalia pembeni! Mwanaume hupata hisia kuwa mwanamke avutiwi na wewe!
Cha kufanya ni kuiga akiangalia kando na wewe ukizungumza usimkodolee mimacho angalia kando! Mbinu hii huteka umakini na kumpa mwanamke confidence ya kutamka vitu ambavyo si kawaida kwa mwanamke!
3. Tumia sauti yenye mamlaka!
Kichekesho ni pale dume unaporemba sauti! Mfano" mambo unaendeleaje"aisee wanawake watakukimbia utaonekana mdhaifu na muhitaji.
Lakini ukitumia kama"hey! Njoo hapa,unaendeleaje itamfanya mwanamke avutiwe na wewe maana kiasili mwanamke ameumbwa kutii! Na kufuata amri!
4. Weka nafasi
Yape mazungumzo yako na mrembo nafasi!
Usiongee mfululizo ka cherehani
Ruhusu uwepo Wa ukimya unaoenda polepole!
Hii nafasi itampa mwanamke nafasi kujileta kwako kama mwana kondoo!
Atafurahi kukupa namba yake ya simu kwa kuwa anakufukuzia wewe na sio wewe unamfukuzia,baada ya kumgeuzia kibao!
Najua wanaume wengi tunapenda kuwa na warembo ila wachache hufanikiwa!
Usiwaze leo nakupa mbinu ambazo utasahau mitoso na lugha chafu za warembo!
1. Mfanye mwanamke ajitathimini kwako!
Yes ni mzuri ila usionyeshe mfadhaiko na kukosa confidence. Inabidi ujioneshe una vigezo vyako na ana jukumu la kukulidhisha! Kumbuka warembo hutongozwa na wanaume wengi,kuwa tofauti
Mfano muulize"ni kitu gani kinakufanya tofauti na wanawake wengine?"
Hapa demu atajifaragua kwa Maelezo lukuki huku unatupia vijiswali
Unaweza ukamuuliza "sidhani kama wewe ni type yangu!
Be different
2. Tumia miondo sawa ya mwili
Mara nyingi unapomfukuzia mwanamke siku za mwanzoni huangalia pembeni! Mwanaume hupata hisia kuwa mwanamke avutiwi na wewe!
Cha kufanya ni kuiga akiangalia kando na wewe ukizungumza usimkodolee mimacho angalia kando! Mbinu hii huteka umakini na kumpa mwanamke confidence ya kutamka vitu ambavyo si kawaida kwa mwanamke!
3. Tumia sauti yenye mamlaka!
Kichekesho ni pale dume unaporemba sauti! Mfano" mambo unaendeleaje"aisee wanawake watakukimbia utaonekana mdhaifu na muhitaji.
Lakini ukitumia kama"hey! Njoo hapa,unaendeleaje itamfanya mwanamke avutiwe na wewe maana kiasili mwanamke ameumbwa kutii! Na kufuata amri!
4. Weka nafasi
Yape mazungumzo yako na mrembo nafasi!
Usiongee mfululizo ka cherehani
Ruhusu uwepo Wa ukimya unaoenda polepole!
Hii nafasi itampa mwanamke nafasi kujileta kwako kama mwana kondoo!
Atafurahi kukupa namba yake ya simu kwa kuwa anakufukuzia wewe na sio wewe unamfukuzia,baada ya kumgeuzia kibao!