1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,355
- 12,733
hizi tango mwitu,, mkuu we endelea kubembeleza mwenzio anakuja karibu yako anapaki RANGE SPORT, Anatoka utaona huyo marembo anamshangaa wa RANGE,
NonsenseFanya mtongozo wako kwa mwanamke Wa ndoto zako uwe Wa mafanikio!
Najua wanaume wengi tunapenda kuwa na warembo!
Ila wachache hufanikiwa!
Usiwaze Leo nakupa mbinu ambazo utasahau mitoso na lugha chafu za warembo!
1.mfanye mwanamke ajitathimini kwako!
Yes ni mzuri ila usionyeshe mfadhaiko na kukosa confidence. Inabidi ujioneshe una vigezo vyako na ana jukumu la kukulidhisha! Kumbuka warembo hutongozwa na wanaume wengi,kuwa tofauti
Mfano muulize"ni kitu gani kinakufanya tofauti na wanawake wengine?"
Hapa demu atajifaragua kwa Maelezo lukuki huku unatupia vijiswali
Unaweza ukamuuliza "sidhani kama wewe ni type yangu!
Be different
2.Tumia miondo sawa ya mwili
Mara nyingi unapomfukuzia mwanamke siku za mwanzoni huangalia pembeni!
Mwanaume hupata hisia kuwa mwanamke avutiwi na wewe!
Cha kufanya ni kuiga akiangalia kando na wewe ukizungumza usimkodolee mimacho angalia kando!
Mbinu hii huteka umakini na kumpa mwanamke confidence ya kutamka vitu ambavyo si kawaida kwa mwanamke!
3.Tumia sauti yenye mamlaka!
Kichekesho ni pale dume unaporemba sauti!
Mfano" mambo unaendeleaje"aisee wanawake watakukimbia utaonekana mdhaifu na muhitaji.
Lakini ukitumia kama"hey! Njoo hapa,unaendeleaje
Itamfanya mwanamke avutiwe na wewe maana kiasili mwanamke ameumbwa kutii! Na kufuata amri!
4.Weka nafasi
Yape mazungumzo yako na mrembo nafasi!
Usiongee mfululizo ka cherehani
Ruhusu uwepo Wa ukimya unaoenda polepole!
Hii nafasi itampa mwanamke nafasi kujileta kwako kama mwana kondoo!
Atafurahi kukupa namba yake ya simu kwa kuwa anakufukuzia wewe na sio wewe unamfukuzia,baada ya kumgeuzia kibao!
View attachment 723944
U may dear!can i chop ur money???
MpungaDola
Hii ni njia muafaka kwa watu wasio na fweza au influence yoyote.Fanya mtongozo wako kwa mwanamke Wa ndoto zako uwe Wa mafanikio!
Najua wanaume wengi tunapenda kuwa na warembo!
Ila wachache hufanikiwa!
Usiwaze Leo nakupa mbinu ambazo utasahau mitoso na lugha chafu za warembo!
1.mfanye mwanamke ajitathimini kwako!
Yes ni mzuri ila usionyeshe mfadhaiko na kukosa confidence. Inabidi ujioneshe una vigezo vyako na ana jukumu la kukulidhisha! Kumbuka warembo hutongozwa na wanaume wengi,kuwa tofauti
Mfano muulize"ni kitu gani kinakufanya tofauti na wanawake wengine?"
Hapa demu atajifaragua kwa Maelezo lukuki huku unatupia vijiswali
Unaweza ukamuuliza "sidhani kama wewe ni type yangu!
Be different
2.Tumia miondo sawa ya mwili
Mara nyingi unapomfukuzia mwanamke siku za mwanzoni huangalia pembeni!
Mwanaume hupata hisia kuwa mwanamke avutiwi na wewe!
Cha kufanya ni kuiga akiangalia kando na wewe ukizungumza usimkodolee mimacho angalia kando!
Mbinu hii huteka umakini na kumpa mwanamke confidence ya kutamka vitu ambavyo si kawaida kwa mwanamke!
3.Tumia sauti yenye mamlaka!
Kichekesho ni pale dume unaporemba sauti!
Mfano" mambo unaendeleaje"aisee wanawake watakukimbia utaonekana mdhaifu na muhitaji.
Lakini ukitumia kama"hey! Njoo hapa,unaendeleaje
Itamfanya mwanamke avutiwe na wewe maana kiasili mwanamke ameumbwa kutii! Na kufuata amri!
4.Weka nafasi
Yape mazungumzo yako na mrembo nafasi!
Usiongee mfululizo ka cherehani
Ruhusu uwepo Wa ukimya unaoenda polepole!
Hii nafasi itampa mwanamke nafasi kujileta kwako kama mwana kondoo!
Atafurahi kukupa namba yake ya simu kwa kuwa anakufukuzia wewe na sio wewe unamfukuzia,baada ya kumgeuzia kibao!
View attachment 723944
Nenda kwa gia hizi katongoze mademu wa huko kwenu ushirombo watakubabaikia kwa sababu umetoka mjini .Wewe sijasema ndo kutokuhonga
Agiza unachotaka hapo nakuja kulipaMi nkiwa natoa hela ndo najiskia yaan navimba, iko ivi nna wapenzi wawili saiv, mmoja hutaskia akitaka hata vocha, huyu mwingine kunivuja ni given. Wote wawili ni mapini kama uzuri wananyooshana maana Mimi sikoseagi sample zangu facelook bure friends zangu wana like bila bando. Cha ajabu huyu dem ambae hanivunji nikiwanae tunaspend hot nyt asubuhi anaondoka hata nauli hataki YAANI IVO NAKUA SIJISKII YAANI HATA SIVIMBI. upande wa pili wa shilingi nkivujwa yaana YAANI NAONA RAHA MOYO UNANISUUZIKA YAANI HATA NKIWA NAE MAENEO NAVIMBA VIZURI, nlichojifunza mwanaume ukiwa kwenye mahusiano zen unahudumia ndio mpango ofcoz wanaume tunapenda kuombwa hela.
angalizo; ikiwa unahudumia afu humfaidi Huyo unaemuhudumia (hupigi) hapo utakuwa umetokea SENGEREMA
Waacha weMwanamke yyt anahitaji uongo
Tu ili aweze kukupenda na
Kukutunuku papuch