brton
Senior Member
- May 7, 2019
- 174
- 151
Na tumevamiwa haswaShule zitafungua tu na jf itarudi kwenye ubora wake
Na tumevamiwa haswaShule zitafungua tu na jf itarudi kwenye ubora wake
Jesus!!yaani umalaya ndio mbinu!?Usikubali kushindwa kirahisi, Maisha ni vita nianze namna hii. Katika harakati zangu za kupigana vita mbalimbali hasa katika jamii nyingi za kuonewa na kudhulumiwa, ilinifanya nifikirie sana namna ya kulipa visasi kwa namna mbalimbali mfano nimeshaitumia mbinu hii mtambuka.
1. Kutoka kimapenzi na mke wa adui nilivunja ndoa kbsa.
2. Kutoka kimapenzi na Mtoto wa adui yangu nikashinda zaidi.
3. kutoka kimapenzi na mdogo au Dada wa Adui yangu nilishinda vibaya sana.
4. Kutoka kimapenzi na Mpenzi au Mchumba wa Adui yangu hapa nilishinda knock out.
5. Kutoka kimapenzi na jirani wa Adui yangu nikipata ushindi wa cap historically.
6. Kutoka kimapenzi na Mfanyakazi wa Adui yangu hapa nilimdharirisha sana.
7. Kutoka kimapenzi na wanafunzi wa maadui zangu hapa nilishinda hadi vita mpya zote.
8. Kutoka kimapenzi na best au rafiki wa Adui yangu hapa niliua pande zote.
9. Kutoka kimapenzi na Mama mdogo, Shangazi na mamkubwa wa Adui nilifanya maajabu ya kupigiwa magoti na abc kadhaa.
Ongezeni mbinu zenu za kimedani za ubaharia na nyie
Naishia hapa maana orodha ni ndefu ntarudi kwenye comments.
Wadiz a.k.a Master of The Eagle Craw.
Me nkajua mwanaume, Mwanaume kweli kumbe kidude mcharuko cha mapenziUsikubali kushindwa kirahisi, Maisha ni vita nianze namna hii. Katika harakati zangu za kupigana vita mbalimbali hasa katika jamii nyingi za kuonewa na kudhulumiwa, ilinifanya nifikirie sana namna ya kulipa visasi kwa namna mbalimbali mfano nimeshaitumia mbinu hii mtambuka.
1. Kutoka kimapenzi na mke wa adui nilivunja ndoa kbsa.
2. Kutoka kimapenzi na Mtoto wa adui yangu nikashinda zaidi.
3. kutoka kimapenzi na mdogo au Dada wa Adui yangu nilishinda vibaya sana.
4. Kutoka kimapenzi na Mpenzi au Mchumba wa Adui yangu hapa nilishinda knock out.
5. Kutoka kimapenzi na jirani wa Adui yangu nikipata ushindi wa cap historically.
6. Kutoka kimapenzi na Mfanyakazi wa Adui yangu hapa nilimdharirisha sana.
7. Kutoka kimapenzi na wanafunzi wa maadui zangu hapa nilishinda hadi vita mpya zote.
8. Kutoka kimapenzi na best au rafiki wa Adui yangu hapa niliua pande zote.
9. Kutoka kimapenzi na Mama mdogo, Shangazi na mamkubwa wa Adui nilifanya maajabu ya kupigiwa magoti na abc kadhaa.
Ongezeni mbinu zenu za kimedani za ubaharia na nyie
Naishia hapa maana orodha ni ndefu ntarudi kwenye comments.
Wadiz a.k.a Master of The Eagle Craw.
Sijataka kuwaumiza zaidi kimaandishi maana ningetimiza maudhui nilichofanya ni genocide mengine sijaweka. Tahadhsri usifanye dhuluma wa kuonea mtu utapata amani muda wote.Hakuna ubaharia hapo. Yaani ushindane na mtu ambaye amekuzidi kufikiria na maarifa?!
Ncha kali maamae this technical English made me lost. Semenya jf linguistics expert.Siku ukipata adui wa kike utatoka kimapenzi na wapenzi zake? Dadadeeki no rule without exception.
Hapo #8, huyo best wa adui yako uliyetoka naye kimapenzi naye ni Me?Ndio mimi ni Me
Shule zitafungua tu na jf itarudi kwenye ubora wake
Lipa watu pesa wakamfanyizie ila hakikisha wanakaa maeneo mbali na hapo.Usikubali kushindwa kirahisi, Maisha ni vita nianze namna hii. Katika harakati zangu za kupigana vita mbalimbali hasa katika jamii nyingi za kuonewa na kudhulumiwa, ilinifanya nifikirie sana namna ya kulipa visasi kwa namna mbalimbali mfano nimeshaitumia mbinu hii mtambuka.
1. Kutoka kimapenzi na mke wa adui nilivunja ndoa kbsa.
2. Kutoka kimapenzi na Mtoto wa adui yangu nikashinda zaidi.
3. kutoka kimapenzi na mdogo au Dada wa Adui yangu nilishinda vibaya sana.
4. Kutoka kimapenzi na Mpenzi au Mchumba wa Adui yangu hapa nilishinda knock out.
5. Kutoka kimapenzi na jirani wa Adui yangu nikipata ushindi wa cap historically.
6. Kutoka kimapenzi na Mfanyakazi wa Adui yangu hapa nilimdharirisha sana.
7. Kutoka kimapenzi na wanafunzi wa maadui zangu hapa nilishinda hadi vita mpya zote.
8. Kutoka kimapenzi na best au rafiki wa Adui yangu hapa niliua pande zote.
9. Kutoka kimapenzi na Mama mdogo, Shangazi na mamkubwa wa Adui nilifanya maajabu ya kupigiwa magoti na abc kadhaa.
Ongezeni mbinu zenu za kimedani za ubaharia na nyie
Naishia hapa maana orodha ni ndefu ntarudi kwenye comments.
Wadiz a.k.a Master of The Eagle Craw.
Kama jamaa ana ngoma.na wewe umeipata ngoma.Mbinu za kupambana na adui yako ni kumpa mawazo ya kisaikojia,,
Nlikuwa na ugomvi na Jirani yangu mmoja,,hatuna salamu wala kusemeshana ,,sio yeye wala jamaa zake humo nyumbani kwake,
Siku nikasema ngoja nimpe jamaa mawazo ya kisaikojia..
Nikaleta mafundi pale home wakawa wanapima eneo lililobaki najenga apartment za kupangisha.
Tukawa tunaongea Kwa sauti jinsi kufanya Ujenzi wa hizo apartment.
Mafundi wakaanza kupima na kuweka tathimini ya Ujenzi..
Ilikuwa heka heka tupu muda huo,
Jirani walitoka nyumba nzima wanashangaa.,,
nikajifanya kama siwajali.
Jamaa alikuwa na dada zake warembo kweli kweli,
Pisi kali haswa.
Baadae nikaleta mchanga gari 2 pamoja na kokoto.
Kwamba naanza Ujenzi siku ile,,,
Jirani alikonda sn kwa mawazo hana raha week nzima...
Baadae nikasema kibali cha Ujenzi kinasumbuwa.,
Nikaamua kujenga ukuta tu...
Nitamaliza apartments baadae,
Mbinu yangu hii ilifanikiwa 100%,,
Kwani dada zake jamaa na mkewe walianza ukaribu na Mimi..
Kwa kujuwa nina kibunda kikubwa cha noti kimenitembelea.
Wakaanza Mara salamu ,,
mara tabasamu ,,
Nikajitafunia papuchi mkewe jirani ,
na dada zake 2..bila kujuwana....
Kwenye Prison Break, mhusika mkuu Michael Scofield alikuwa anabeba maumivu yote ya kudhuriwa mwili wake kama starehe tu ila alikuwa hawezi kuvumilia kama jambo litafanywa dhidi ya kaka yake (Lincoln) au demu wake Michael (Sara). T Bag akagundua kuwa njia pekee ya kumuumiza Michael ni kuwaumiza watu anaowapendaAcha ubinafsi, kisasi kizuri ni kile kinachomgusa muhusika.
We ndo fala kabisa. Visasi vyako vyote ni mapenzi mapenzi tu! Na ngoma lazima unayo wewe, hufai!!Usikubali kushindwa kirahisi, Maisha ni vita nianze namna hii. Katika harakati zangu za kupigana vita mbalimbali hasa katika jamii nyingi za kuonewa na kudhulumiwa, ilinifanya nifikirie sana namna ya kulipa visasi kwa namna mbalimbali mfano nimeshaitumia mbinu hii mtambuka.
1. Kutoka kimapenzi na mke wa adui nilivunja ndoa kbsa.
2. Kutoka kimapenzi na Mtoto wa adui yangu nikashinda zaidi.
3. kutoka kimapenzi na mdogo au Dada wa Adui yangu nilishinda vibaya sana.
4. Kutoka kimapenzi na Mpenzi au Mchumba wa Adui yangu hapa nilishinda knock out.
5. Kutoka kimapenzi na jirani wa Adui yangu nikipata ushindi wa cap historically.
6. Kutoka kimapenzi na Mfanyakazi wa Adui yangu hapa nilimdharirisha sana.
7. Kutoka kimapenzi na wanafunzi wa maadui zangu hapa nilishinda hadi vita mpya zote.
8. Kutoka kimapenzi na best au rafiki wa Adui yangu hapa niliua pande zote.
9. Kutoka kimapenzi na Mama mdogo, Shangazi na mamkubwa wa Adui nilifanya maajabu ya kupigiwa magoti na abc kadhaa.
Ongezeni mbinu zenu za kimedani za ubaharia na nyie
Naishia hapa maana orodha ni ndefu ntarudi kwenye comments.
Wadiz a.k.a Master of The Eagle Craw.