chilambo chavanuvanahe
Member
- Jul 12, 2017
- 10
- 12
Unasoma comb gani dogo usijekesha na math aff ikakubaka vlevle,,,komaa na unachokiweza
Naiheshimu sana hesabu (whether advance or olevel), ingawa sijawahi kufeli hesabu, ila naujua mziki wake..!Amani iwe nanyi viongozi.
Kwa wale wakongwe wa Pure Mathematics, naomba mtuweke wazi juu ya mbinu za kuimudu na kufaulu Advanced Mathematics Katika michakato mizima ya kusoma ili nasi tutoe mabanda kama wengi wenu mlivyofanya.
Mnakaribishwa viongozi.
Amani iwe nanyi viongozi.
Kwa wale wakongwe wa Pure Mathematics, naomba mtuweke wazi juu ya mbinu za kuimudu na kufaulu Advanced Mathematics Katika michakato mizima ya kusoma ili nasi tutoe mabanda kama wengi wenu mlivyofanya.
Mnakaribishwa viongozi.