mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
habari nilizozipata hv punde kutoka kwa mfanyakazi mwenzangu huko mbeya ni kuwa fujo ni nyingi kiasi cha kwamba imebidi jeshi liitwe kuongeza nguvu kwani jamaa walijiandaa toka jana wakijua lazima ffu wangekuja kwa hio mziki wa mbeya ni mzito sana walikwenda ffu wapi magereza wakajaribu coz walikuwa karibu wapi kandoro kaomba msaada toka jeshini fujo zimeanza saa1 asubuhi mpaka sasa ndo zinazidi kusambaa maeneo mengine nackia huko jamani hali ni mbaya sana wazee wa kupiga nondo wako ngagari