Mwanongwa
Senior Member
- Feb 15, 2023
- 169
- 198
Halmashauri ya wilaya ya kyela imeanza ujenzi wa barabara za mitaa kwa kiwango cha lami.
Barabara hizo tayari zimaenza kujengwa na zinatarajiwa kukamilika mnamo mwezi wa saba.
Wilaya ya Kyela ni miongoni mwa wilaya ambazo zilikuwa na miundombinu mibovu kwa muda mrefu .
Kutengenezwa kwa barabara hizo kutasaidia kurahisisha usafiri ndani ya wilaya hiyo pamoja na mji kuwa kwenye hari ya kupendeza.
Barabara hizo tayari zimaenza kujengwa na zinatarajiwa kukamilika mnamo mwezi wa saba.
Wilaya ya Kyela ni miongoni mwa wilaya ambazo zilikuwa na miundombinu mibovu kwa muda mrefu .
Kutengenezwa kwa barabara hizo kutasaidia kurahisisha usafiri ndani ya wilaya hiyo pamoja na mji kuwa kwenye hari ya kupendeza.