Apart from SAE pia enzi zile nilishawai gonga Mdudu Savoir maeneo ya mafiati apo kama unashuka kwenda town upande wa kushoto baada ya kituo cha daladala.
Nondo kuwa makini nazo kila interval daka tax kama una private car ni vyema!
Yes, pale Savoy Resort eneo la Mafiat (sio mbali kutoka Mbeya Carnival) pana kitimoto safi sana, nadhani panamfaa kijana wetu. Lakini pia maeneo ya Mwanjelwa (Blue House) pana kitimoto mitaa ile, napo patamfaa. Lakini kijana angekuwa na muda mzuri, vitimoto vya nguvu vipo Uyole (Big Jombas) na Bar za jirani, wale ni balaa
wakuu,jana kwa kuogopa kupigwa nondo mbele ya mkwe tukatafuta eneo la karibu tukala,kesho alhamis nitakuwa pekeyangu!ijumaa alfajiri narudi arusha
sasa hivi nipo chunya,mkwajuni!baba mkwe wangu amezaliwa eneo linaitwa karungu!ndio nimeletwa ukweni for the first time
wakuu,jana kwa kuogopa kupigwa nondo mbele ya mkwe tukatafuta eneo la karibu tukala,kesho alhamis nitakuwa pekeyangu!ijumaa alfajiri narudi arusha
sasa hivi nipo chunya,mkwajuni!baba mkwe wangu amezaliwa eneo linaitwa karungu!ndio nimeletwa ukweni for the first time