Mbeya international airport

Mhigomkami

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
858
507
Jamani kuna yeyote anayejua ule uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini kinaendelea coz sijawahi sikia ndege zinatua na kuruka kutoka huko. It's many years now since the construction started.........au hauna viwango vya kimataifa?
 
Jamani kuna yeyote anayejua ule uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya nini kinaendelea coz sijawahi sikia ndege zinatua na kuruka kutoka huko. It's many years now since the construction started.........au hauna viwango vya kimataifa?

Kwanza unaitwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa SONGWE na siyo MBEYA!...Ukitamka hivyo unamaanisha ule mdogo wa Mwanjelwa!
Pili, uwanja huu bado haujamalizwa kujengwa, japo kimipango unatakiwa uwe tayari by December2011...tunaamini kweli utakuwa operational coming that said time.

Ishu ya Viwango ni dhana pana sana!...Maana ukisemea viwango, hata JNIA na KIA havina viwango vya kimataifa katika idara fulani fulani nyingi tu!...Lakini kiwango kilicho kikuu katika viwanja ni Njia ya kutua na kurukia pamoja na viambata vyake!...Kwa upande huo nikuhakikishie kuwa viwango vipo mkuu, na ni vya hali ya juu.
 
well said, may be kuna matumaini hapo ngoja tusubiri hadi december tuone! nina mpango wa kufanya biashara huko southern highlands so uwanja huu utakuwa kiungo safi, tuombe mola
 
Issue kubwa hapa ni kuwa kuna ongezeko la gharama kutokana kushuka kwa thamani ya fedha yetu na kwamba mkandarasi amekuwa akizungushwa sana kupata fedha kutoka serikalini kinyume na mkataba.

Kwa mfano, mkandarasi ameshindwa kujenga jengo kubwa la kupumzikia wasafiri (alisub contract kampuni ya kichina) lakini mpaka leo hii hakuna kinachoendelea. Runway ilikuwa iwekwe lami over six months ago wakasingizia mvua, sasa kiangazi hiki sijui watasingizia nini.

Generally, ni ubabaishaji mtupu unaoendelea pale. Niliwahi kuongea na one of the senior engineer na akaniambia kuwa hata hiyo December ni ndoto....
 
Ujenzi wake ulisimamishwa kwasababu za kisiasa, Hivi unafahamu kwamba Mwandosya ndiye aliye initiate hicho kitu? Hivi unafahamu wakati kikwete anachukua fomu za urais na Mwandosya naye alichukua?
 
Issue kubwa hapa ni kuwa kuna ongezeko la gharama kutokana kushuka kwa thamani ya fedha yetu na kwamba mkandarasi amekuwa akizungushwa sana kupata fedha kutoka serikalini kinyume na mkataba. Kwa mfano, kandarasi ameshindwa kujenga jengo kubwa la kupumzikia wasafiri (alisub contract kampuni ya kichina) lakini mpaka leo hii hakuna kinachoendelea. Runway ilikuwa iwekwe lami over six months ago wakasingizia mvua, sasa kiangazi hiki sijui watasingizia nini. Generally, ni ubabaishaji mtupu unaoendelea pale. Niliwahi kuongea na one of the senior engineer na akaniambia kuwa hata hiyo December ni ndoto....

Ni kweli Mkuu, nimepita pale week iliyopita hamna kinachofanyika pale. Nilichoona ni kifusi cha mchanga uliowekwa pale siku nyingi zilizopita.
 
Kwanza unaitwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa SONGWE na siyo MBEYA!...Ukitamka hivyo unamaanisha ule mdogo wa Mwanjelwa!
Pili, uwanja huu bado haujamalizwa kujengwa, japo kimipango unatakiwa uwe tayari by December2011...tunaamini kweli utakuwa operational coming that said time.

Ishu ya Viwango ni dhana pana sana!....

Niliwahi kupita pale nikamwuliza chief engineer/site manager wa ujenzi kuwa utakuwa na uwezo wa kuhost ndege ya ukubwa gani akaniambia ni 737...!!!!!!!!??? kwa uwezo huu ndege ambazo they are almost in decomissioning processes na manufacturer, bado tuuite ni uwanja wa kimataifa? I hope alinidanganya!!
 
Dah, inawezekana ujezi ukakamilika baada ya ****** kumaliza ngwe yake...2020.....kazi ipo....
 
Kwanza unaitwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa SONGWE na siyo MBEYA!...Ukitamka hivyo unamaanisha ule mdogo wa Mwanjelwa!
Pili, uwanja huu bado haujamalizwa kujengwa, japo kimipango unatakiwa uwe tayari by December2011...tunaamini kweli utakuwa operational coming that said time.

Ishu ya Viwango ni dhana pana sana!...Maana ukisemea viwango, hata JNIA na KIA havina viwango vya kimataifa katika idara fulani fulani nyingi tu!...Lakini kiwango kilicho kikuu katika viwanja ni Njia ya kutua na kurukia pamoja na viambata vyake!...Kwa upande huo nikuhakikishie kuwa viwango vipo mkuu, na ni vya hali ya juu.

Well elaborated!
 
Kwanza unaitwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa SONGWE na siyo MBEYA!...Ukitamka hivyo unamaanisha ule mdogo wa Mwanjelwa!
Pili, uwanja huu bado haujamalizwa kujengwa, japo kimipango unatakiwa uwe tayari by December2011...tunaamini kweli utakuwa operational coming that said time.

Ishu ya Viwango ni dhana pana sana!...Maana ukisemea viwango, hata JNIA na KIA havina viwango vya kimataifa katika idara fulani fulani nyingi tu!...Lakini kiwango kilicho kikuu katika viwanja ni Njia ya kutua na kurukia pamoja na viambata vyake!...Kwa upande huo nikuhakikishie kuwa viwango vipo mkuu, na ni vya hali ya juu.

Pamoja na maelezo hayo mazuri nimepata kujua viwango vya viwanja vya kimataifa kwa maana kwamba si lazima ndege kubwa za kimataifa zitue pale, ila uwezo wa kutua ndege hizo pamoja na connection ya kiwanja hicho na viwanja vingine vya kimataifa. Kuna viwanja vingi tu vya kimataifa hapa duniani hakuna ndege ya kimataifa inayotua pale, ila kuna domestic airplane zinazosomba watu kwenda kwenye viwanja vikubwa zaidi.

Hii ni sawa na mmoja anayefikiri highway ni ile ambayo ipo kwa mfumo wa divided lane kumbe si kweli maana Mandela road si high way na wenzetu wangeiingiza kwenye list ya park way. Sasa ukilinganisha Barabara ya Dodoma - Kondoa - Arusha na ile ya mandela mwenye akili za kiwango changu atanikatalia kama barabara ya Dodoma Arusha si adopted highway, ila Mandela road ndiyo highway.
 
Pamoja na maelezo hayo mazuri nimepata kujua viwango vya viwanja vya kimataifa kwa maana kwamba si lazima ndege kubwa za kimataifa zitue pale, ila uwezo wa kutua ndege hizo pamoja na connection ya kiwanja hicho na viwanja vingine vya kimataifa. Kuna viwanja vingi tu vya kimataifa hapa duniani hakuna ndege ya kimataifa inayotua pale, ila kuna domestic airplane zinazosomba watu kwenda kwenye viwanja vikubwa zaidi.

Hii ni sawa na mmoja anayefikiri highway ni ile ambayo ipo kwa mfumo wa divided lane kumbe si kweli maana Mandela road si high way na wenzetu wangeiingiza kwenye list ya park way. Sasa ukilinganisha Barabara ya Dodoma - Kondoa - Arusha na ile ya mandela mwenye akili za kiwango changu atanikatalia kama barabara ya Dodoma Arusha si adopted highway, ila Mandela road ndiyo highway.


Decison made on political ground zitendeal kulitafuna taifa hili. Mfano soma wikileak cable hi inakupa mfano jinsi viongozi wetu walivyo

The GOT's commitment to supporting ATCL appears to be a matter of pride rather than business judgment (a competing private airline, Precision Air, which is linked with Kenya Airways, has operated profitably). If indeed the GOT traded oil concessions for life support for ATCL, it may have gotten a bad deal. The track record of ATCL, especially under current management, does not bode well for its future as an investment (or a reliable means of domestic transport)."

Kwa hiyo mambo ya songwe International Airport ni pride tu na hakuna business or sustainable investmnet yeyote hapo. Na aliyeanzisha hii alikuwa Mwandosya.

Mengine ndiyo bandari ya Bagamoyo na uwanja wa ndege vile vile
 
Back
Top Bottom