RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
Ndugu yangu juve2012, uko sahihi 100%, Kuna ushahidi wa wazi kabisa kuwa mji wa Arusha umeathirika sana kutokana na activities za kwenye mashamba ya maua! Hawa jamaa mbali ya kupuliza sumu nyingi hatari kwa viumbe vilevile hutumia Chemical Bombs kutawanya mawingu ya mvua wakati wa mavuno! wanadai kuwa baridi na mvua hupelekea maua kutokuchanua kwa wakati! Kinachosikitisha ni kuona kuwa viongozi wetu wana information za kutosha lakini wako kimya as if mambo haya hayawahusu! Wakuu ktk mambo ambayo siyaamini kabisa ni chanjo zitolewazo kwa akina mama na watoto wachanga, binafsi nilikataa katakata mwanangu kupata hizo chanjo LAKINI cha kushangaza nilikuta wamemchanja akiwa Shuleni! Nani aliwapa haya mamlaka? kama wanajali kiasi hiki je? kwanini hawapulizi madawa ya kuua Mbu na mazalia ya Mbu ambayo imethibitika kuwa effective kwa nchi kama Australia, Indonesia et al? Kwanini wanazuia matumizi ya DDT kwenye Fumigation wakati kwenye zao huwa wanatumia kupulizia kwenye mitaro ya maji machafu na barabarani? Miaka ya 60 mpaka late 70s Tanzania ilikuwa inajitosheleza kwa chakula! Nakumbuka kulikuwa na mahindi ya asili yenye rangi za njano mengine mafupi walikuwa wanaita katumaini, mbegu hizi ziliweza kabisa kuwatosheleza Jamii ya kitanzania kwa lishe! Mbegu hizi za labs mara nyingine haziwezi kuhimili ukame hata wa wiki 1 mbali na madhara ya kiafya kwa Jamii. Dr. Mama Ishengoma msimlalamikie sana maana wamemtengeneza kama robot na anatenda kwa niaba yao! Wasome wetu reasoning yao ni bora ya wazee wetu kule kijijini wakati mwingine...Mkuu RockSpider ulipogusia chemtrails umenikumbusha hizi outbreaks za magonjwa baada ya mvua kunyesha.tangu zamani haya yametokea lakini kwa sasa imekuwa too much,mvua kidogo tu watu wengi huwa hoi kwa mafua,kifua,mafindofindo,malaria, etc,hasa magonjwa ya upper respiratory tract system.ina maana huko angani kumejaa sumu kiasi kwamba mvua inakuwa contaminated?ina maana ardhi imejaa sumu kiasi kwamba mvua ikianguka inatibua vumbi lililojaa sumu na wadudu wa magonjwa?kwa nini mvua huleta sana magonjwa ya milipuko siku hizi hasa huku miji mikubwa?na waje wataalam watupe maelezo hapa.