Attache
Senior Member
- Jul 6, 2012
- 175
- 145
Henry Kissinger (Political scientist, Diplomat, pia aliwahi kuwa secretary of States) now ni mmoja wa wanaochochea sana New World Order (au Anglo-American Order kama mchambuzi mmoja anavyoiweka) aliwahi sema "Who controls the food supply controls the people; who controls the energy can control whole continents; who controls money can control the world." Na kidogo kidogo wanayatimiza haya.
Serikali imakua ikiipigia debe sana suala la kukubali mbegu za mahindi ambazo zipo Genetically modified. Mwanzoni nilisikia kwamba ukizipanda mara tatu the fourth time hazioti. But baada ya maongezi na Professor mmoja kutoka chuo cha Sokoine cha Kilimo(SUA),nilipata kufahamu kuwa hizo mbegu huota kwa mzao mmoja tu,baada ya hapo ukizihifadhi na kuzipanda tena hazioti,worse still, kwa mtu aliyepanda mahindi ya kawaida karibu na mtu aliyetumia mbegu hizo za GMO pollination itatokea na huyo mwenye mahindi ya kawaida baada ya kupanda hizo mbegu zake three or four times hazitaota tena.
Hii inamaanisha nini?
Tutakua watumwa kwenye nchi yetu wenyewe kwa kutegemea mbegu kutoka nje ili tuweze kulima! Tutaingia kwenye mtego ambao utatutafuna mpaka mwisho na kutufanya tuwe vibaraka wa wazungu kukubali kila tuambiwalo kwa ajili ya chakula.
Wamewekeza nguvu sana katika kutawala energy kwenye nchi za kiarabu, kwa nchi masikini ndio wanaanza kwa ku-control vyakula mwishoni wataingiza dola moja na hapo ndipo adhma yao itaanza kutimia. Lakini huko kote ni mbali, madhara ya mbegu hizi kwa wakulima na taifa kwa ujumla si kwamba viongozi wetu hawafahamu, most of them wanafahamu ila wanapigia debe suala hilo na wana sound kama ------------,nilishangaa sana Mama Ishengoma(Dr. aliyetoka SUA) kutetea hili suala huku akisema "tukubali kutumia mbegu hizo kwani kwa kufanya hivyo watafiti watafurahi".
Hili suala jamani tuliangalie kwa makini sana sana,tunapotezwa hivi hivi, na sisi tukikaa kimya kusubiri wachache kukemea suala hili tutaingizwa shimoni and, trust me, kutoka hatutoweza tena.
Serikali imakua ikiipigia debe sana suala la kukubali mbegu za mahindi ambazo zipo Genetically modified. Mwanzoni nilisikia kwamba ukizipanda mara tatu the fourth time hazioti. But baada ya maongezi na Professor mmoja kutoka chuo cha Sokoine cha Kilimo(SUA),nilipata kufahamu kuwa hizo mbegu huota kwa mzao mmoja tu,baada ya hapo ukizihifadhi na kuzipanda tena hazioti,worse still, kwa mtu aliyepanda mahindi ya kawaida karibu na mtu aliyetumia mbegu hizo za GMO pollination itatokea na huyo mwenye mahindi ya kawaida baada ya kupanda hizo mbegu zake three or four times hazitaota tena.
Hii inamaanisha nini?
Tutakua watumwa kwenye nchi yetu wenyewe kwa kutegemea mbegu kutoka nje ili tuweze kulima! Tutaingia kwenye mtego ambao utatutafuna mpaka mwisho na kutufanya tuwe vibaraka wa wazungu kukubali kila tuambiwalo kwa ajili ya chakula.
Wamewekeza nguvu sana katika kutawala energy kwenye nchi za kiarabu, kwa nchi masikini ndio wanaanza kwa ku-control vyakula mwishoni wataingiza dola moja na hapo ndipo adhma yao itaanza kutimia. Lakini huko kote ni mbali, madhara ya mbegu hizi kwa wakulima na taifa kwa ujumla si kwamba viongozi wetu hawafahamu, most of them wanafahamu ila wanapigia debe suala hilo na wana sound kama ------------,nilishangaa sana Mama Ishengoma(Dr. aliyetoka SUA) kutetea hili suala huku akisema "tukubali kutumia mbegu hizo kwani kwa kufanya hivyo watafiti watafurahi".
Hili suala jamani tuliangalie kwa makini sana sana,tunapotezwa hivi hivi, na sisi tukikaa kimya kusubiri wachache kukemea suala hili tutaingizwa shimoni and, trust me, kutoka hatutoweza tena.