Pengo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 579
- 10
Habari zilizotangazwa muda huu(saa kumi na mbili) katika taarifa ya habari ya redio Clouds imemnukuu mwenyekeiti wa chama cha siasa cha NCCR mageuzi akiongea kuwa watanzania tujali zaidi utaifa badala ya ubabe kama unaofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotaka uongozi wa nchi kwa kutoa vitisho vya kumwaga damu za watanzania baada ya uchaguzi.
Mbatia amekwenda mbali zaidi aliposema hao wapuuzi wanaotangaza kumwaga damu baada ya tarehe 31/10/10 ni wasio na fadhila kwa nchi yao na ni wahaini wanaopaswa kuchukuliwa hatua za kisheria.
Mbatia amekwenda mbali zaidi aliposema hao wapuuzi wanaotangaza kumwaga damu baada ya tarehe 31/10/10 ni wasio na fadhila kwa nchi yao na ni wahaini wanaopaswa kuchukuliwa hatua za kisheria.