Mbatia anatumika, Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini?

Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.



Ndoroboooo!!!!

Acha kulialia.

Kwa taarifa yenu CCM, Mbatia ni Mwenyekiti mwenza wa UKAWA.

Hivyo ukiigusa CHADEMA, NLD, NCCR, au CUF elewa kuwa umeigusa UKAWA.

Kiongozi yeyote anaweza kujibu kwa niaba ya chama husika.

Hivyo acheni kupiga kelele, watu wenye akili zao wapo busy mitaani wanafanya kampeni kumpitisha Mgombea wa CHADEMA ndani ya UKAWA mh. Lowasa katika maandalizi ya kuingia IKULU.

nanyi fanyeni kampeni hizo porojo zenu hazitawasaidia kuingia ikulu.

Watanzania wa leo siyo wale mliowazoea wa wenzi za ujima.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!
 
watanzania bhana mbatia kujibu hizo tuhuma mnaona nongwa hamkumbuki kama ni wamoja na wanalinda umoja wao?mboe kaongea kwenye mkutano na kuonyesha msisitizo wa umoja wao katumwa mbatia mbona nyie mmemtuma slaa kwani yeye ccm?mwaka huu ni mwendo wa farasi
tu paka mkome
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.
Mwanzo wa thread mpaka mwisho ni urojo mtupu..
Kakojoe ukalale huko..
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

hi hi hihi basi ongea wewe mkuu
 
ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na lowassa. Mbatia siyo msemaji wa lowassa wala msemaji wa chadema. Kwanini tuhuma za slaa kwa chadema na lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa nccr mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... Kuliko mfalme mzee mpumbavu.




tusubiri kwa hamu siku kamanda wenje atakapokuwa kwenye jukwaa moja na mleberali huyu!
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

Maana ya kuungana nn? Hukwenda shule eee?
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

point dhaifu sana hii kuliko point zote nilizowahi kukutana nazo. Ningekuwa nakufundisha ningekupa alama zero.
 
Ashukuru jk kamuhurumi na ubunge wa.kwenye kapu angekuwa.anavuna kahawa alishapotea ktkt siasa

kweli mkuu huyu jamaa amshukuru jk , ndie aliyemuweka kwenye ramani ya siasa , mpaka hawa anaowatumika kwa sasa wakamwita YEYE NI CCM
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

Hujui wala hujawahi kusikia Mbatia ni mwenyekiti mwenza wa ukawa? na Lowassa ni mgombea wa ukawa kupitia chadema? au ndiyo kale ka-ugonjwa ketu ka kusahau sahau
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

Na wewe ni nani Mpaka uje Umsemee Mbatia ?
Ni Mumeo ?
 
Nafikiri mbatia anafaa atawazwe kuwa mjibu hoja na msemaji WA UKAWA anaimudu,anaweza,ANASTAHILI,
""UKAWA NI MOJA,LENGO NI MOJA!
TABU IPO WAPI?""
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?

Umenunuliwa kwa sh ngap?

Acha kutumika mzee.

Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.
Mkuu what comes to your mind, ukisikia neno UKAWA?
 
Dr. Slaa katika hotuba yake pale Serena Hoteli sikusikia kabisaaa, akiongelea Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA, bali ndani ya CHadema. Bado napata tabu kujua sababu ya Mbatia kuwa mtu wa kwanza kujitokeza live kwenye Tv na kupinga yaliyozungumzwa na Dr. Slaa kuhusu ujio wa LOWASSA ndani ya Chadema. Isiwe tabu, labda kuna lililojificha nyuma ya pazia.
Sababu kubwa iliyonifanya niandike Uzi huu ni yale aliyoyasema Mbatia kama moja ya majibu kwa Dr. Slaa


1. Unataka kulipeleka wapi taifa hili, unapowahusisha Maaskofu na kuhongwa pesa? Unataka waumini wao wasiwaamini? Kwanini uwahusishe Maaskofu na siasa nyepesinyepesi za maji taka?


Duh! Mbatia, kwa sababu ni MAASKOFU, wawe mafisadi, wakubali kuhongwa kwa sababu hawatassemwa popote kuepuka kutoaminiwa na waumini wao? Je tuamini kwamba viongozi wengi wa dini ni mafisadi, wala rushwa lakini kwa sababu wana WAUMINI nyuma yao, hakuna wa kuwaumbua kwao?


2. Tuachache na Siasa za uongo, siasa nyepesinyepesi kwa kwa sababu tunapigania kupata KATIBA MPYA KWANZA, na hicho ndicho kipaumbele cha kwanza cha LOWASSA. Mamaaaa, tangu Chadema wamezindua Kampeni zao, ni wapi LOWASSA amesema kipaumbele chake cha kwanza ni kupata KatibaMpya? nakumbuka alisema, ELIMU, ELIMU, ELIMU. Hii Katiba mpya kaisemea wapi, Mbatia naomba andiko, picha, sauti au hata video na hili.
3. Chadema walishamptisha Dr. Slaa kuwa mgombea urais wao na ni yeye(Dr. Slaa) aliyewakataza wasimtangaze kwanza ili kuandaa mbwembwe za kumtangaza. Kwa sababu inaonekana Mbatia unayajua ya Chadema kuliko Chadema wenyewe, tuambie kikao gani kilichobadili mgombea urais wa CHADEMA kutoka Dr. Slaa kwenda Edward Lowassa?
 
Back
Top Bottom