gezzle
Senior Member
- Dec 23, 2016
- 128
- 88
Kwenye quotation statement WamekiriDefective charge nani alitamka haiwezekani maneno yawe yametamkwa na watu wote dakika,sekunde na sehemu ile.charge imetupa jiwe gizani hakuna atayetiwa hatiani labda wajitaje wenyewe aliyesema.
Sio msufini ya Afande Sele ni ya Gairo hiyo na mshitakiwa mmoja wapo hapo ndo mmiliki wa hiyo baasasa hao watu wote saba walitukana tusi moja mbona kama sielewi mbona kama naanza kuchanganywa na yanayoendelea hapo misufini kwa afande sele
Hapo ndipo hii kesi itakapotupiliwa mbali , ndio kilichoshindikana kwenye kesi ya Mh Lema na Mkewe dhidi ya Mrisho Gambo , kwamba watu wawili kwa wakati mmoja na kwa kutumia simu moja eti walimtumia sms ya matusi Mh RCwote wanne wametamka sentensi hiyo kwa pamoja???
kwanini muendesha mshtaka anamaanini kuwa wanamzungumzia mkuu wa wilaya husika wakati hakuna popote walipotaja jina lake????
Tuione hiyo qoation statement haina shida
..mbona Musiba anatukana viongozi wa vyama vya upinzani lakini hachukuliwi hatua?
Hiyo baa itafungwa soonhuana eenh,me mambo ya siasa simo kabxa. Ila nachojua kuna makundi ndani ya chama. Kuna kundi la upande wa mbunge (Shabiby) nq upande wa mkuu wa wilaya. So hawa jamaa ni wafuasi wa mbunge na wote ni makada wa ccm, kumbe kulikuwa na mtu wa upande wa mkuu wa wilaya anawarekod afu walikuwa vyombo...
Sent using Jamii Forums mobile app
hivyo viitikio mbona havijaandikwa hapo kwenye charge sheet???
hivyo viitikio mbona havijaandikwa hapo kwenye charge sheet???
Labda waliimba hayo matusisasa hao watu wote saba walitukana tusi moja mbona kama sielewi mbona kama naanza kuchanganywa na yanayoendelea hapo misufini kwa afande sele
Ms. Siriel Shaidi Mchembe Specialist of Social Protection and Women’s Entrepreneurship, Institute of Financial Management, United Republic of Tanzania Ms. Siriel Shaidi Mchembe is a District Commissioner at Gairo District, Morogoro Region Tanzania. She is a Deputy to H.E Hon. Samia Suluhu Hassan the Vice President of the United Republic of Tanzania; Secretary General High Level Panel, Women's Economic Empowerment. She has Masters Degree of Business Administration (MBA) Corporate Management. Before June, 2016 she worked as a Lecturer at the Institute of Finance Management. She is a specialist of Social Protection and Women's Entrepreneurship. Before September 2011, she had held several managerial positions that involved extensive leadership and supervisory skills for more than 8 years at PPF Pensions. She held positions like Contributions Manager, Pensions and Customer Care Manager. She also worked with the Ministry of Finance - Tanzania, Treasury as Pensions Manager - Government. She is a consultant in Social Protection and Women's Entrepreneurship. Other technical positions held are Board member Christian Magazine in the name of 'Jibu la Maisha and Board Member City Christian Center, Tanzania Assemblies of God Church. At different levels she facilitated development of Strategic Plan, Compliance and Benefit Manual, Customer Care Policy, Customer Care Charter and timely and accurately payment of members' benefits through effective use of Information and Communication Technology (ICT). Other consultancy that she had are East and Central Africa Social Security Association (ECASSA) as a Council Member and Facilitator.Kwani Haujui Kwamba Siriel Ni Dc Wa Gairo iliyoko Mkoa Wa Morogoro?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unless Wakili Msomi Wa Serikali Angetazama namna ya kuandika hapo badala ya kuwabebesha sentensi hiyo Moja Tena Ya Kukanusha kwamba walisema basi angewaweka as Accessories kwa kushabikia kwao wakampa ushawishi jamaa kutukana.Labda waliimba hayo matusi
..mbona Musiba anatukana viongozi wa vyama vya upinzani lakini hachukuliwi hatua?