Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
huyo mama ana booty???Kuna huyu mama hapokei shikamoo yangu hapa job cjui anamaana gani, na anatabasam muda wote
huyo mama ana booty???Kuna huyu mama hapokei shikamoo yangu hapa job cjui anamaana gani, na anatabasam muda wote
Ya kutosha mkuu, nawaza hapa sijui nitume maombiiiihuyo mama ana booty???
Sjadanganywa sababu hata mimi cjaizoea
Mkuu hapa tofauti ni lugha iliyotumika tu, maana ni moja..sholom ni amani..vivyo hivyo na hiyo ya asalam al..Unaiogopa Salaam ya Yesu Alayhi Salaam?
Kipi bora utoe salamu ya kitumwa shikamoo au utoe salama ya kawaida ambayo itamjulia hali mtu wa rika lolote lile
Mim sion utafauti kimantiki kati ya asalam aleykum na habari yako... mtamo tu ndugu
Bwana asifiwe, naona imetulia?Hiyo explanation yako ya kuwa shikamoo ni salaam ya kitumwa haiingii akilini hata chembe, mimi naona ni uzushi tu.
Halafu, Asalaam Alaikum na habari yako ni vitu tofauti kabisa.
Halafu, wakati nyinyi akina juliasi mnahangaika kutafuta mbadala sisi tayari kwa enzi na enzi tunatumia salaam aliyoitumia pia Yesu Alayhi Salaam, Asalaam Alaikum. Haina walakin, haina gender haina mkubwa wala mdogo.
Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Bwana asifiwe, naona imetulia?
Hatuchokozani kila mtu yupo huru kuchangia maoni binafsi,Unamchokoza Faiza
Hatuchokozani kila mtu yupo huru kuchangia maoni binafsi,
Wakiwa na maana gani?Hewalla mkuu,kuna maeneo husikia wanasalimiana "chei chei"
Wakiwa na maana gani?
KIDUNIA SIO KWELI, wapo wakristo wengi tu huko Egypt, Israel,Palestina, na kuna jimbo lipo uingereza lenye waislam wengi huwa wanatumia salam hiyo ya "Asalaam Aleykyum" Hii ni kutokana adoption kwa waislam wengi walioispread lugha ya kiarabu maeneo hayo.binafsi huwa sipendi kusalimiwa au kusalimia SHIKAMOO. sababu kubwa ni historia ya neno lenyewe kuwa la enzi za utumwa "NIKO CHINI YA MIGUU YAKO" lakin ningependa kumsalimia kwa adabu anayestahili. sasa wataalam wa lugha na maadili mnisaidie mbadala wa matumizi ya neno hilo na maana na adabu ibaki palepale. nilipokuwa Pemba nilifurahia matumizi ya asalaam aleikhum kwa rika zote. lakin kwa huku mikoani ni salaam yenye tafsiri ya dini ya uislam. huwez kuitumia pote ukaeleweka.
Bwana asifiwe, naona imetulia?
Yote haya ya nin?Naam hakuna wakusifuwa zaidi ya Bwana wa mabwana asiyezaa wala kuzaliwa, Muumba wa Ardhi na mbingu aliyemtuma Yesu Alayhi Salaam kama alivyowatuma Mitume wake wengine wote kuja kutufundisha mema na kutukataza mabaya.
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.
Hakuna kweli wa kusifiwa zaidi ya Yesu Kristo Mungu kutoka Kwa Mungu. Aliyejifanya MTU Kwa ajili yetu.Naam hakuna wakusifuwa zaidi ya Bwana wa mabwana asiyezaa wala kuzaliwa, Muumba wa Ardhi na mbingu aliyemtuma Yesu Alayhi Salaam kama alivyowatuma Mitume wake wengine wote kuja kutufundisha mema na kutukataza mabaya.
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.