asee yani namna hii hata Mungu hapendi jamani watu wanajizulia laana bureee....? manake yani mtoto kama yule angeweza kujengewa hata darasa angefurahi sana ila jamaa wanataka posho ipande bungeni.... jamani huu si utu///
Ndio maana ikifika wakati wa campain,wanakuwa karb na wananc ili wapate kula nasio kura,posho lk 3 per day,mchele kl ni sh 2000 sasa mwenzang na mi ni kunywa uji tu maisha yanaendelea.
Nimejaa upepo mpaka natamani nipasuke tu! Maisha gani haya jamani? Ukiona watu wanajitoa muhanga, yanaanza hiivi hivi. Sasa tuliowatuma kulinda raslimali zetu ndio kwanza wamegeuka mchwa! Watanzania kweli hatuna bahati. Ee Yesu rudi mapema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.