makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 3,762
- 3,019
Hapo kwenye kucheza chini ya kiwango ili maximo afukuzwe sikubalian na wewe, hiko ndo kiwango cha yanga wala hakuna kingine zaidi ya hicho ulichokiona.
Huu ni ulevi wa ushindi
Hapo kwenye kucheza chini ya kiwango ili maximo afukuzwe sikubalian na wewe, hiko ndo kiwango cha yanga wala hakuna kingine zaidi ya hicho ulichokiona.
pia anapenda kuongea sana wakati hata mwanafunzi wake mek mexime anamtesa. angekaa na kiwelu huko mwadui waongee mpaka basTatizo kubwa la Maximo tangu ameanza kufunza haonyeshi welekeo wa soka la Yanga ni lipi?
aende zake bwana kocha gani anyeogopa kuishambulia simba anajaza viungo wa ulinzi tu? Simba hii inayo teswa na stand Go maunited leo inaitoa jasho yanga iliyojaza wachezaji wa timu za taifa kibao. Je ikiklutana na zamaleki si itapigwa kumi>kumi. Go MASIKIO MASKIO
Mechi ya Mtani Jembe ni siku ambayo Yanga huwapa talaka makocha wao!!