Katika kujaribu kufikiria kuhusu jiji la Dar es salaam hususan msongamano na vurugu Kariakoo, nikapata wazo gumu la kufunga soko la Kariakoo. Linaweza kugeuzwa kuwa ofisi au kubomolewa na kuwa open space. Masoko ya nje ya mji kwa maana ya kila manispaa yakaboreshwa au kujengwa upya. Ni mawazo tu