Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Juma Kapuya
Huyu nataka sana kusikia habari zake huko Urambo jamani vipi?
Juma Kapuya
Kwani Mkuchika confirmed???
Nimeskia n Steven WAsira naye chalii.
We sema Udaku............ naye kagoma kusaini.......... wa nne kugoma kusaini......Batilda, Masha, Dialo........na huyu......Walishaambiwa na bosi wao wakubali matokea...........UDAKU mtupu!!
huyu si alipita bila kupingwa? sasa imekuaje tena awe chali????Mary Nagu, Milton Makongoro, Tyson, Magufuli,
Jamani weka list ya Mawaziri waliodondoka hapa!!! only list no posting long sentences.
Jamani weka list ya Mawaziri waliodondoka hapa!!! only list no posting long sentences.
1. Prof. Peter Msola
2. Nsanzugwako
3. Getrude Mongela
4. Mary Nagu
5. Mjengwa Maggid
6. Issa Michuzi