ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,253
- 8,343
Hatuna serikali ya mseto Tanzania
Hivi Rais hawezi kuteua wabunge wa vyama pinzani kuwa mawaziri?
Hivi Rais hawezi kuteua wabunge wa vyama pinzani kuwa mawaziri?
Tibaijuka nae kafanya nini hadi umsifie? Au kwa sababu alivunja ukuta wa mwarabu pale palm beach? Baada ya hapo nini kiliendelea kama si kuufyata mkia.
Mkuu wangu hakika nakuambia hakuna kitu hapo. Ukiona mtu anazungukazunguka na waandishi wa habari na kuwalipa posho nono ujue ana agenda yake. Utendaji wa akina Mwanri ni wa kwenye TV tu. Kila siku Mwanri anakemea watu mbona sijasikia wakichukiliwa hatua? Mkuu wangu nakumbuka maneno ya Bob Marley alilosema kwamba siki moja usiku ungekuwa mchana ghafla watu wangeshangaa na mambo yote ya viongozi wetu yakiwekwa hadharani watu mtashangaa.tmebaki na mawaziri wawili tu tibaijuka na magufuli,pamoja na naibu wetu mwanri,hao uliowataja wakapumzike tu jaman,na tena mwanri anafaa kuwa waziri mkuu
Tibaijuka tu - sio huyo mwingine uliyemtaja
Mwanri ni kama mcheza sinema. Matendo na maneno yake hayana uhalisia.Tuletee data za ofisini kwake interms of effeciency na corruption