Mkuu ni ombi zuri sana lakini unaijua Bongo vizuri sana kwa sasa. Mpango ni Chukua Chako Mapema na ndio sheria ya utekelezaji sera, sasa tunapoomba mawaziri watiwe mbaroni wakati ni ruksa sijui tuna ushahidi gani?..Maana inavyosemekana hizo fedha zimepotea ktk idara zao na sii wao wamehusika na ufisadi huo. Hivyo maadam makosa yamepatikana ndani ya wizara zao imelazimika wajiuzuru lakini haina maana wao ndio wahusika...Wakuu JF heshima mbele sana,
- Well, kitendo cha Rais kuwabadili mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kuhusika na upotevu wa hela za wananchi na ripoti ya CAG, kina maana moja tu kwamba hata na yeye ameridhika kwamba kuna ukweli au FACTS katika tuhuma walizokuwa wakituhumiwa nazo, ninasema great second day kwa Taifa, kwanza ilikuwa kuweka ripoti wazi to the public na kuruhusu mjadala wa public!
- Sasa ifike mahali pa kufanya kweli, yaani Watuhumiwa wote kufikishwa kwenye mkondo wa Sheria, haki itakua imetendeka na sio otherwise, kwanza haki kwao mawaziri maana wanahitaji kuwa wasafi mbele ya public na pili Serikali kulinda heshima yake kwamba sasa ipo serious, ama sivyo kuitoa ripoti ya CAG to the public itakuwa ni kazi ya bure, I mean mawaziri na viongozi wetu wakijua kwamba madhara ya kuiba ni kujiuzulu tu na kuachiwa ukale mihela ya wananchi tutakua tunajenga taifa la kusadikika, na itakuwa kazi kubwa kumpitisha Rais wa CCM 2015!
- MHESHIMIWA RAIS, UBARIKIWE KWA KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI, SASA TWENDE MBELE ZAIDI TUFIKE KWENYE SHERIA NA WOTE WENGINE HAO MAKATIBU NA WAKURUGENZI ULIOSEMA KWENYE HOTUBA YAKO KUWA WANAHUSIKA NA WAO PIA UWE MWENDO WA KUELEKEA KWENYE SHERIA!, NI SHERIA TU NDIO INAWEZA KUTUSAFISHA WOTE, SERIKALI NA MAWAZIRI WALIOACHWA!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Hakuna kitu hapo TAKUKURU ni bogus. Hawana uwezo huo waache wakamate rushwa za ngono na za Matrafiki barabarani
Tunarudi palepale kwamba mfumo wa utawala wetu haukujenga kuwafanya viongozi wetu wawe responsible moja kwa moja na maamuzi ya wizara ktk matumizi. Tuna Waziri mkuu, Waziri, Naibu waziri na Katibu mkuu wote waajiriwa wa rais na wana uwezo wa maamuzi yoyote ktk wizara moja, tena Katibu mkuu ndiye anayeidhinisha matumizi ya wizara bado hujagusa kwenye idara zake pia kuna utararibu mwingine. Hivyo waziri anaweza kabisa kutojua kimefanyika nini hadi siku ya ukaguzi na report itatolewa kuihsisha wizara yake.
Wee umeona jinsi Omar Nundu na Naibu na katibu wake walivyokuwa wakishindana juu ya ujenzi wa gati za bandari na kila mmoja akijiona yeye ndiye kiranja. Na ndio maana husema hatuna sababu ya kuwa na waziri msomi ktk wizara husika wakati kazi kubwa ya utekelezaji ni ya Katibu mkuu,, hatuhitaji kabisa kuwa na watu watatu wizara moja wote wamechaguliwa na rais kuifanya kazi moja.
Hakuna lolote, labda yy Jk ajipeleke mahakamani kwanza ! Mbona bado kaweka walaji wengine kulinda maslahi yake ktk sekta flan flan ? Katibu mkuu km yule Komba alimpa zawadi ya ubalozi Uganda baada ya kufanikisha kuuza wale wanyama sasa kama kweli yy hausiki basi amtimue yule haraka na kumrudisha ajibu mashtaka !
What about Jahiro ? Blandina Nyoni anajulikana tangu zamani, hao akina Mapunjo wanajulikana madili yao na yy mwenyewe tangu wakiwa wizara kibao mpaka alipmvuta Ikulu, na then kumpeleka viwanda na biashara ambako yy ni mmoja wa hao wenye makampuni feki na JK anajua siku nyingi.
WTF, mnampa sifa kuwa yy ndiyo aliamua report ijadiliwe, kwani hii ni report ya CAG ya kwanza ? Ni upinzani ndiyo umesababisha haya yote na baadhi ya wabunge wa CCM baada ya kufuatilia wakagundua ni kweli wenzao wanakomba bila huruma na JK anajua na kuhusika thru mtandao plus RZ1. Mbona yule DED aliyetafuna mahela akiwa Bagamoyo, rafiki yake mkubwa ndiyo kampa u RC Arusha ?
So wewe acha hizi sifa hewa unless sasa unavizia nafasi iliyobaki ya kuteuliwa ubunge !! Vp anakuja lini kufungua tawi lako la CCM...lol
Mkuu hebu nieleweshe namna ambavyo wananchi watataka haya yatimie kama serikali haijataka kuyatimiza.- Hakuna lislowezekana kama wamesoma ripoti kwa taifa na yanayofuata wananchi tukiyataka tayafuata, ila kama wananchi wamekata tamaa hivi then inakuwa ni kazi sana, ila ninaamini wananchi tukidai itafanyika kama wananchi walivyodai waondolewe!
William.
- Kuja upande wa pili ni lazima nipaamini huko, so far bado sijafikia hilo kutokana na kujua mengi sana yanayoendelea within na hizi siasa, lakini mimi nimesema hivi na wakati wote kwamba siwezi hata siku moja kukosa kuweka wazi msimamo wangu on any ishus hapa bongo, kwenye hili la mawaziri ninasema sasa tumewaondoa kwenye nafasi kwa sababu ya kuamini sio wasafi, basi wakasafishwe na Sheria!
- Upande wa pili bado sijaamini kwamba huku niliko kumeshindwa, siku nitakapoaamini hivyo utaniona nikiwa wa kwanza kuja huko, sio sasa!
William.
mpaka uone CDM wamechukua nchi ndio utaamini?au ndio sizitaki mbichi hizi?na siku muda ukifika itakua too late kuwa na mwanachama kama wewe maana unaonekana uko kimaslahi zaidi
i am appalled and frustrated that bw malecela, despite being educated and exposed to the outside world, you still bear the rudimentary thinking that we see in our semi literate, feeble minded politicians!!!
yaani tumpe uongozi mwandosya ili atibiwe na nchi!!!!! khaaaa this is the most stupid notion ever, utter nonsense and complete BS!!! kwani hana bima ya afya?? je mababu zetu nao tuwape uongozi ili watibiwe pia na serikali si ndio jamani cz wagonjwa ni wengi.
i have nothing against waziri mwandosya na i would have supported him being treated kwa fedha za kodi yetu but sio kwa namna hii jamani!! utter and complete BS!! na new generation ya CCM kama malecela anasupport!!!! yaani am disappointed , totally.
- CDM watachukua nchi only kama CCM itaacha kusikiliza mawaidha ya wananchi, kwa mfano hoja ya Zitto kwa sasa imekufa kifo cha mende, simply kwa sababu CCM imesikiliza wananchi, ni kweli nipo kimasilahi zaidi ya Taifa na wananchi kuliko yangu binafsi!
William.
We mwananchi, inaonekana unajitahidi kujaribu kutumia akili ili utoe hoja zenye mashiko, lakini unachotoa hakina uzito wowote kwani ni lugha ile ile ya ccm ya uongo uongo. BILA PRESSURE YA ZITTO BUNGENI KUTAKA KUMWAJIBISHA WAZIRI MKUU, KUSINGETOKEA MABADILIKO YOYOTE. UNASIKITISHA KUMBE ULIKUWA HUFATILII HOJA YA ZITTO NA MADHUMUNI YAKE HASA HUKO BUNGENI, HIVYO WACHA KUPOTOSHA UMA KWAMBA CCM IMEWASIKILIZA WANANCHI, KWA HILO SIDHANI KAMA UNAFAA KUWA HATA KATIBU KATA, SABABU UNAGEUZA MAMBO. ZILEZILE PERSONAL QUALITY ZA WANA CCM.
Hakuna lolote, labda yy Jk ajipeleke mahakamani kwanza ! Mbona bado kaweka walaji wengine kulinda maslahi yake ktk sekta flan flan ? Katibu mkuu km yule Komba alimpa zawadi ya ubalozi Uganda baada ya kufanikisha kuuza wale wanyama sasa kama kweli yy hausiki basi amtimue yule haraka na kumrudisha ajibu mashtaka !
What about Jahiro ? Blandina Nyoni anajulikana tangu zamani, hao akina Mapunjo wanajulikana madili yao na yy mwenyewe tangu wakiwa wizara kibao mpaka alipmvuta Ikulu, na then kumpeleka viwanda na biashara ambako yy ni mmoja wa hao wenye makampuni feki na JK anajua siku nyingi.
WTF, mnampa sifa kuwa yy ndiyo aliamua report ijadiliwe, kwani hii ni report ya CAG ya kwanza ? Ni upinzani ndiyo umesababisha haya yote na baadhi ya wabunge wa CCM baada ya kufuatilia wakagundua ni kweli wenzao wanakomba bila huruma na JK anajua na kuhusika thru mtandao plus RZ1. Mbona yule DED aliyetafuna mahela akiwa Bagamoyo, rafiki yake mkubwa ndiyo kampa u RC Arusha ?
So wewe acha hizi sifa hewa unless sasa unavizia nafasi iliyobaki ya kuteuliwa ubunge !! Vp anakuja lini kufungua tawi lako la CCM...lol
- Kwa mfano ni Viongozi wapi wa level ya uwaziri unaowakumbuka waliowahi kwenda Jela hizo enzi, please naomba majina ili tuongee na FACTS!
William.